Let's give it a kick siku moja...anza kwa kuinstall skype kwenye kompyuta yako huko basi mimi huku kwangu tayari ninayo...
We will give it a try some day
kukutanisha makojoleo kwa njia ya skype, tango nk... unachomeka kojoleo kwenye kile kitundu cha USB
Kuna rafiki yangu wa karibu, mwanamke (sio gf wangu) amekutana na mtu online na kuanzisha mahusiano. Kwa maelezo yake mahusiano hayo yana Kama miezi miwili hivi, na jamaa anaonekana kafika kwa huyo mdada. Mwezi mmoja baada ya kukutana, jamaa akaingizana Dar na wakakakutana USO kwa macho. Jamaa ni daktari bingwa huko majuu. Baada ya huyo jamaa kuondoka akiwa amepata pochi la uhakika na ki-IST kamuachia, huko aliko sasa anamlazimisha wafanye mapenzi online. Mdada hajazoea na jamaa anamwambia hawezi kuvumilia mpaka watakapoonana, vinginevyo amruhusu awe a natafuta mtu wa chapuchapu kumaliza hamu yake. Mdada kachanganyikiwa, ameniambia ushauri na mie nimeshindwa ni shauri nini. Msaada bandugu
Unaweza kuambukizwa virusi vya kompyuta sasakukutanisha makojoleo kwa njia ya skype, tango nk... unachomeka kojoleo kwenye kile kitundu cha USB
Unaweza kuambukizwa virusi vya kompyuta sasa
Mmmh hivi imekuaje kwanza miye na Konnie leo tumewaza sawa...
Miye sina eksipiriensi ila nimefikiria kizembe tu...
Kaka, mi Nadhani hiyo para ya mwisho ndio yenyewe. Cku hizi watu wanatafuta pesa kwa mbinu zote. Ushauri wako ni bora zaidi.thanksUkisoma kwa makini hapa maswali yanakuwa mengi ...
- Alipokuja hapa tz na kutoa minoti na kumuachia ki IST, hawakuwahi kugegedana? Walikubaliana nini?
- Hawakuweza kuongea juu ya hatma ya mahusiano yao?
- Ana ushahidi gani kuwa huyo ni daktari bingwa huko majuu na siyo tapeli?
- Kwanini asimtumie nauli huyo binti aende kwake au yeye awe anarudi baada ya muda fulani kupata hiyo huduma?
- Kwanini amtishe huyo dada kuwa kama hawezi kufanya mapenzi online, amruhusu yeye kugegeda msichana mwingine kukudhi haja zake? Hivi asingeweza kugegeda bila kuomba ruhusa? Kwanini kuna vitisho?
Kama mada hii ni ya kweli, kwa haraka haraka, nahisi anataka kumfundisha huo mchezo wa kufanya mapenzi online, ili awe ANAMREKODI na kuzichukua picha hizo za video na kuziuza kwenye mitandao ya ngono huko kwako. Na hiyo ndiyo sababu ya kumhonga gari na hela nyingi. Ni ngumu kuhongwa hivyo kwa ajili ya michezo ya online. Kuna kitu ndani yake. Michezo hiyo ni mingi siku hizi, mwambie afunguke kiakili, atadhalilika!
Sijui akina snowhite, SnowBall, Kongosho, Kaunga, gfsonwin, Mr Rocky, neggirl, Nivea, Kaunga nk mnauelewaje mchezo huu!
unakijua "kipinchi" hahaha..najua hujui
halaf inawezekana ni patna kwenye hii mambo..hahahah
Unaweza kuambukizwa virusi vya kompyuta sasa