Anahitaji mfanyakazi kike stationery

Anahitaji mfanyakazi kike stationery

MOST WANTED

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2011
Posts
209
Reaction score
178
Jinsia: Kike
Uzoefu: Mwaka 1

Vigezo: 1.Awe anajua kutumia computer na kutumia application zote muhimu za Microsoft Office kwa ajili ya huduma za Stationery

2. Kufanya application zote muhimu katika tovuti za serikali na zinginezo

4. Awe anajua kutumia mashine na vifaa vya stationery

3. Awe Mkazi wa Mbeya, itapendeza zaidi maeneo ya jirani na Chuo cha Mzumbe kampasi ya Mbeya

Umekidhi vigezo: Tuma cv yako Whatsapp kupitia 0712022554
Mwisho wa kutuma maombi ni TAREHE 3/9/2025 SAA 6 KAMILI MCHANA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom