Anaeweza Ku-flash simu

What happens simu yako hains technology ya fast charg lakini unatumia chaja ya fast charging....kuna madhara yoyote kwa simu ,battery au system charging?

Sent using Samsung Galaxy
 
Yes ww ndo umepiga msumali wa mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app
 
What happens simu yako hains technology ya fast charg lakini unatumia chaja ya fast charging....kuna madhara yoyote kwa simu ,battery au system charging?

Sent using Samsung Galaxy
Kwa hapo nisiseme kitu, kwa kuwa sio mtaalamu upande wa hardware. Ila inachaji kama kawaida. (mimi nimeshatumia , na sikuona madhara)

Ila ni vema ukatumia charger iliyo na rating sahihi kwa battery yako (japo sio kawaida yetu wa tz)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry ....utafahamu vp kwamba battery lako linaendaje na chaja ya simu?

Sent using Samsung Galaxy
 
Mkuu Kwani ukitumia Data na matumizi ya kawaida tu ya simu Kwa hizi smartphone Aina ya Samsung Chaji inaweza kuzidi Masaa 10 mpaka 15
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…