Vamosdm05
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 410
- 510
What happens simu yako hains technology ya fast charg lakini unatumia chaja ya fast charging....kuna madhara yoyote kwa simu ,battery au system charging?Kuna uwezekano, kwakuwa battery ipo na rating ambazo zinatakiwa ziendane na chaja yake.
Kutumia tumia chaja za hovyo hovyo kuna zoofisha battery japo si jambo la mara moja tu, (huchukua muda.)
Hiyo battery yako ina muda gani ?
Kama kuna uwezekano badili battery na chaja kwa pamoja!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Samsung Galaxy
