Kipo wapi?, bei? Picha mbili tatu tafadhaliUsed at a very reasonable price. 4*6 goodoro jipya inch 10.njoo pm
Mkuu godoro pekee utaniuzia shillingi ngapi nipo kihonda@IQupGodoro jipya 5*6, inchi 8. lipo kwenye karatasi lake na halijatumika, kitanda 5*6 kimetumika japo sio sana. vyote leta 240,000
(godoro ilinunuliwa 145,000. kitanda 185,000 mbao)...leta mzigo wa pesa ujikomboe
NB: vyote vipo Morogoro, ukipenda kuja PM kwa maelezo
njoo manyuki ulione, 120,000.... godoro tangu linunuliwe lipo kwenye karatasi yake halijatumika limehifadhiwa tu... njoo nikupe kwa bei hiyoMkuu godoro pekee utaniuzia shillingi ngapi nipo kihonda@IQup
Weka picha huko manyuki kila mtu anaishi manyuki humu boss.njoo manyuki ulione, 120,000.... godoro tangu linunuliwe lipo kwenye karatasi yake halijatumika limehifadhiwa tu... njoo nikupe kwa bei hiyo
Sina picha, ila nikipata muda nitapiga nikutumie picha. ila godoro ni 5*6 mpyaWeka picha huko manyuki kila mtu anaishi manyuki humu boss.
We tangaza vyote ivyo wadau tutathiminiunataka kipya au used kiongozi?
Aina gani mkuu Comfy au Dodoma au Vita raha au...njoo manyuki ulione, 120,000.... godoro tangu linunuliwe lipo kwenye karatasi yake halijatumika limehifadhiwa tu... njoo nikupe kwa bei hiyo
comfy ileee kama sijakosea. ipo chni ya uvungu hadi nikaichungulieAina gani mkuu Comfy au Dodoma au Vita raha au...