Anaethetist anatafuta kazi

Anaethetist anatafuta kazi

abuuh yazeed

Member
Joined
Nov 4, 2016
Posts
50
Reaction score
14
Wakuu habar za humu. Kuna rafiki yangu ni anaethetist. Anatafuta kazi vyeti vyoote anavyo. na ana uzoefu wa kazi kwa miaka 3. Mwenye hosptal ya private kwa daresalaam,arusha, au mwanza yupo tayar.!
 
Anaethetist? ?[emoji54][emoji54]
 
Sio rahisi kwa mtaalamu huyo kukosa kazi serikalini labda uniambie ni mmoja wa waliokumbwa na sakata la vyeti feki
 
Sio rahisi kwa mtaalamu huyo kukosa kazi serikalini labda uniambie ni mmoja wa waliokumbwa na sakata la vyeti feki

UNAZUNGUMZA HIVYO KWA KUWA UKO SERIKALINI HALI YA SASA NI TETE SANA,NINA WAFAHAMU WATU ZAIDI YA WATANO WAMEMALIZA KOZI HII KCMC WAPO TU MITAANI,ACHANA NA ANEASTHETISTS LAKINI PIA KUNA WATU KAMA THEATRE NURSES NAO WAKO MTAANI
 
Hahahahaaa...!! Ni kweli sema mazingira yalikuwa magumu na Niliacha kaz kwa sababu ya maslahi duni. Nipo tayar kupiga kazi mwanza, Dar na Arusha, even hata nje ya nchi
 
Dah mimi mwenyewe nina tatizo la kukosa usingizi...
Anachukua mshahara wa sh ngapi nimuajiri ili tatizo langu la usingizi liishe
 
Wakuu habar za humu. Kuna rafiki yangu ni anaethetist. Anatafuta kazi vyeti vyoote anavyo. na ana uzoefu wa kazi kwa miaka 3. Mwenye hosptal ya private kwa daresalaam,arusha, au mwanza yupo tayar.!

Hahahahaaa...!! Ni kweli sema mazingira yalikuwa magumu na Niliacha kaz kwa sababu ya maslahi duni. Nipo tayar kupiga kazi mwanza, Dar na Arusha, even hata nje ya nchi

Ni rafiki yangu ndio. but naongea kwa niaba yake...!!

Daaah aibu naona mimi huwezi amini bro.
 
Wakuu habar za humu. Kuna rafiki yangu ni anaethetist. Anatafuta kazi vyeti vyoote anavyo. na ana uzoefu wa kazi kwa miaka 3. Mwenye hosptal ya private kwa daresalaam,arusha, au mwanza yupo tayar.!
Ndugu, huyo ndugu yako ni msomi wa ajabu, sioni kama kuna msomi karne hii ambaye awezi kujitafutia kazi hadi asubiri kutafutiwa na ndg yake. Najiuliza, hivi yeye ameshindwa nini kuandindika ujumbe kama huu hapa yeye mwenyewe kuliko wewe kuandika kwa niaba yake. Kwa ufupi, mimi kama mmoja ya waajiri nadhani huyo ndg yako hafai kuajiriwa na akiajiriwa kuna uwezekano mkubwa akauwa watu.
 
Any way..!! naona watu mnaleta masikhara wakat ni jambo la ukweli. Kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia thus why i do this..!! But nipo serious kwa maelezo ya ziada namba zangu 0712268339
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom