Anaepafahamu DODOMA Mjini..

Mkeshahoi

JF-Expert Member
Jan 4, 2009
2,469
281
Wadau...
Kuna jamaa yangu anatarajia kufanya workshop ya siku 5 pale Dom Mjini mwishoni mwa mwezi huu.
Anahitaji kujua ni hotel/ sehemu ipi nje ya mji(si mjini) anaweza kufanyia waorkshop yake..
Mwenye kujua tafadhali anisaidie...
nawasilisha
 
st gasper,dodoma hotel embu nenda hayo maeneo pako poa sn

Hapa si ndio mahali walipofanyia semina elekezi mawaziri wa MAGAMBA?
Usiende hapo bana, ni lazima itakuwa ni hoteli ya FISADI fulani hii!..uko tayari umtajirishe fisadi?
Subiri wenyeji wakutafutie sehemu ya tofauti!
 
panahitajika nje ya mji ili wanaopewa traing wasishawishike kuchepuka town na kuonekana wakati wa mlo na kusign perdiems.... St. Gasper nimeambiwa gharama yao ni kubwa sana ktk package ya conference..
Nazidi lungoja ushauri wenu.. Ahsanteni..:israel:
 
Hapa si ndio mahali walipofanyia semina elekezi mawaziri wa MAGAMBA?<br />
Usiende hapo bana, ni lazima itakuwa ni hoteli ya FISADI fulani hii!..uko tayari umtajirishe fisadi?<br />
Subiri wenyeji wakutafutie sehemu ya tofauti!
<br />
<br />
Mmmhh jamani wewe PJ hiyo si ya .....aah ngoja nireserve my comment.
 
panahitajika nje ya mji ili wanaopewa traing wasishawishike kuchepuka town na kuonekana wakati wa mlo na kusign perdiems.... St. Gasper nimeambiwa gharama yao ni kubwa sana ktk package ya conference..
Nazidi lungoja ushauri wenu.. Ahsanteni..:israel:
ungesema idadi ya washiriki ili upate ushauri mzuri,st Gasper ni conference kubwa sana hivyo kufanyia workshop ya watu wachache ni hasara
 
nenda MODERN HOTEL..then usiku karuke disco 84...mchana kale nyama choma Rose Garden au Jacuana....kapige picha Nyerere Square ....mademu kachukue CHAKO NI CHAKO
 
ungesema idadi ya washiriki ili upate ushauri mzuri,st Gasper ni conference kubwa sana hivyo kufanyia workshop ya watu wachache ni hasara

Nikweli usemalo ndugu.. washiriki ni kati ya 20-25 tu. Wataandaliwa usafiri wa kuwatoa katika makazi walofikia(mjini) n kupelekwa eneo la warsha na baadae kurejeshwa walikofikia.....
 
nenda MODERN HOTEL..then usiku karuke disco 84...mchana kale nyama choma Rose Garden au Jacuana....kapige picha Nyerere Square ....mademu kachukue CHAKO NI CHAKO
Ahsante mkuu.. napenda sana filamu za mwenye hiyo Avatar(Tom the cat):whoo:
 
Mahali pazuri ni AFRICAN DREAMS, IPO KARIBU NA loyal village. Pana swimming pool kubwa na ya ukweli, mazingira ni tulivu pia ni karibu na mlima wa mlimwa ambapo juu yake yanajengwa makazi ya Waziri Mkuu. African Dreams ni pazuri ha'fu utapata huduma at affordable prices.
All the best
 
nenda MODERN HOTEL..then usiku karuke disco 84...mchana kale nyama choma Rose Garden au Jacuana....kapige picha Nyerere Square ....mademu kachukue CHAKO NI CHAKO

hahahaaaa,why asiende dodoma inn,then madem achukue udom???
 
Mahali pazuri ni AFRICAN DREAMS, IPO KARIBU NA loyal village. Pana swimming pool kubwa na ya ukweli, mazingira ni tulivu pia ni karibu na mlima wa mlimwa ambapo juu yake yanajengwa makazi ya Waziri Mkuu. African Dreams ni pazuri ha'fu utapata huduma at affordable prices.
All the best

Ahsante sana ndugu... nitaifanyia kazi mchango wako...!
 
ungesema idadi ya washiriki ili upate ushauri mzuri,st Gasper ni conference kubwa sana hivyo kufanyia workshop ya watu wachache ni hasara

Hapana hawana conference moja wana zaidi ya moja na ipo ndogo tu yakutosha watu 30-50 acha ile kubwa ya kule nje kuna nyingine ipo hapo ndani kabisa
 
Back
Top Bottom