Anaeitaji gari

Anaeitaji gari

vivios

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
244
Reaction score
9
Kama unaitaji gari basi wasiliana nami utataja aina then kama lipo we do the bussinesa in cheap price welcome
 
simple namna hiyo unapata mnunuzi? pole sana.

hii ndiyo sababu inayotufanya waafrika tusiweze kufanya biashara ya online! post yako moja hiyo unafikiri unaweza pata wateja?.

jaribu kuingiza japo hizi details:
1.Wewe ni nani? uko wapi? una uzoefu gani? picha za magari baadhi? bei zako? ofa za ziada,ciontacts zako?,baddhi ya waliokwisha fanikiwa kununua kwako! nk.

soma post ya mwezako hapa chini
https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/428365-2004-toyota-wish-for-sale.html

vinginevyo............
 
Yako mengi ntaeka kila moja natwezaje
 
Back
Top Bottom