sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,662
baada ya waziri wa fedha kuisoma budget 2011/12 ambapo vipaumbele kua umeme,kilimo,ajira,maji na miundombinu. . Lakini hii bajeti kw asilimia kubwa ni tegemezi kwa maana ya kutoka nje na kukopa benk za ndani na za nje. .nachotaka kujua haya madeni kikwete anataka amwachie nan aje kulipa?naomba mwenye data kamili za deni la taifa.