HEART ! Tutake Razi (radhi) kabla jua halijazama sie TUWAZAENI kisha tuwe wabaya ? Kabla ya kuwazaa tunahangaika kutafuta pesa za mahari kwa MBINDE tukawaoa mama zenu tena some times panatokea competetion wanaume watatu kumfatilia mchumba mmoja hatimae mmoja anaoa tunaanza maisha na mama zenu nyumba za kupanga nyie tunawalea tunawasomesha leo mmekua unachukua simu/labtop ambayo siajabu nimekununulia mie Baba yako kisha wasema wanaume (means Akinababa) WABAYA ? Ndiyo shukurani yenu hiyo ?