princessita
Member
- Aug 19, 2013
- 21
- 6
Takribani miezi sita sasa. Tangu nikutane na kijana. Ambae alidai yupo kwenye mahusiano asiyoyapenda na angependa kuwa na mimi ila nimpe muda wa kuachana na wazamani cha kushangaza mpaka leo hii bado hajamuacha. Nikimuuliza anasema nivumilie atamuacha muda is. Mrefu nimeanza kupata mashaka ananipenda kweli au anataka kunichezea naombeni ushauri mi namuona kama msanii anaetaka kunitumia maana sijui kinachomzuia kumuacha nn mpaka leo hii