Anachongumza HABIL kuelekea Desemba

Anachongumza HABIL kuelekea Desemba

Kama mifumo ya taasisi nyeti zote za nchi zimeingiliwa, basi hatupo salama hata kwa nchi shindani zetu. Dunia sasa hivi sehemu ya vita imekuwa sana kupitia ( cyber war ). Kama nchi itabidi kuangalia hili kwa umakini wa hali ya juu, maana ni rahisi sana kuua uchumi kupitia Cyber war
Wafukuzwe kazi RPC OCD na Polisiccm wote walioshiriki kuwaua watu licha ya IGP kuwalinda ingawa na yeye yupo mbioni kufikishwa mahakama ya uhalifu ICC The Hague
 
Tapeli huyo , Ile hoja ya vijana wanatumiwa vibaya na enjioo zanjeee na mataifa adui kutuchonganisha. Wapimbavu watamufuata kiholela
 
ICC The Hague ndiyo suluhisho na mabaya yote ya Serikali dhalimu ya Dikteta mkoloni kaburu toka Zanzibar
 
Sio muda mrefu utaanza kuporomoshewa matusi mpaka utaanza kububujikwa na machozi
Huyu mtu ni muongomuongo basi tu binadamu hatulingani akili, sisi tunaona hamna kitu hapo, wengine wanaamini kila kitu…..
Hiyo ndiyo tofauti ya Africa na Europe (nchi zingine), wangechukulia very serious hili jambo, sasa mswahili kama wewe uliozoea “every thing for granted” utashangaa hadi siku anaangusha ndege ya ushungi wenu ndiyo mnasema ahaaaaa
 
Huyu Habil anawachota tu nenda kasikilize ile simu aliyoongea na msaidizi wa Murilo utanotice kitu 😅😅

Hisia zangu zinanituma ni Mkenya kulingana na kiswahili chake na anajichanganyaga kwenye maelezo yake

Hilo la BOT alitoa deadline ambayo ilikuwa jana but hamna kitu hadi leo
Endelea kutumia hisia..

Mambo yanayo hitaji akili huyawezi
 
Hilo la BOT alitoa deadline ambayo ilikuwa jana but hamna kitu hadi leo
We ulitegemea nini? BoT ilipuke? Subiri. Serikali yako itakapoanza kushindwa kuwalipa mshahara ndo utagundua kulikuwa na kitu. Hii ni vita ya kiteknolojia, sio mabomu.
 
Hiyo ndiyo tofauti ya Africa na Europe (nchi zingine), wangechukulia very serious hili jambo, sasa mswahili kama wewe uliozoea “every thing for granted” utashangaa hadi siku anaangusha ndege ya ushungi wenu ndiyo mnasema ahaaaaa
Nchi zingine sauti yake ingeshageuzwa vipindi vya ze komedi kwenye tv na redio mpaka matangazo ya biashara…
 
Porojo porojo tu kama zile zile za Pole pole
Pole pole haikuwa porojo effect yake, watu kugoma kupiga kura na maandamano na wangemuacha hadi sasa ungeona ccm ipo uchi wa mnyama.

Hao wengine sina uhakika na wanachokisema
 
Dogo yupo well focused well intelligent well emotionally controlled yani ana kitu, kuna demu akajitokeza akasema habili n mtu wake jamaa kawa calm tu, habil ni tofauti ata kama ni mwongo but anawanyima usingiz watu imagine adi bank kuu imamjibu na wamefuatilia live
 
Vijana wataachwa njia panda muda si mrefu. Ni muhimu sana kuwa makini na watu kama hawa. Siwezi kumuamini hata kidogo. Hilo la BOT ndio uongo mkubwa wa kitoto. Mara anafanya vikao sijui na viongozi gani wa UN, yani kiufupi ni utapeli wa muda wa vijana wetu. Atageuka tu
 
Back
Top Bottom