• BOT haijatoa taarifa Rasmi kama mifumo yake imeingiliwa
(Ikiwa watakataa kubali atatoa fundisho)
• Amefanya mazungumzo na kiongozi wa DP world , chairman wao na CEO WAO
• Amemuambia chairman wa DP world kuwa miamala yake ipo wazi
(Kampigia simu Leo na kuongea nae kwa simu)
• mifumo ya kifedha ( Gepg, tips , tiss ipo wazi)
• Kuna uwezekano desemba mishahara zisifanyike watazuia mifumo ya kifedha..
• mifumo ya fedha haipo Salama tena anatahadharisha desemba itakuwa mwezi mgumu sana miamala ya kifedha
Lengo ni ku paralysis government
Meeting point : Ofisi za UN
Kufatilia live hiyo ingia TikTok washa VPN andika neno summerclif00 ufatilie LIVE yake