Ukifatilia coment nyingi kila post ya Makonda kutoa maagizo ikipostiwa ni negative
Nk
But je mnadhan anafanya haya yeye tu kwa akili yake?
Kama anayofanya hayana baraka za mama asingekuwa ameshamuonya? Katibu mguu angekuwa hajamuonya? Pm angekuwa hahamuonya?
Kwa bahati mbaya Tanzania serikali na chama vimeungana(mwenyekiti wa chama ndo raisi wa nchi) so chama kina nguvu zaid ya serikali maana mtendaji yoyote wa serikali anaweza kuwajibishwa na chama ndo inayompa nguvu Makonda
So ukweli ni kwamba hakuna mtu yoyote mwenye nguvu ya kumpinga Makonda zaid ya mama mwenyewe na kwa sababu mama hampingi maana yake anayofanya ametumwa na mama so walioko chini ya mama lazima wanywee!
Mwisho kabisa me naamin Makonda karudishwa maksud kabisa (strategic) kujarb kuirudisha kanda ya ziwa mikonini mwa mama
Ukweli ni kuwa watanzania wengi sana walimpenda JPM( mimi sukumpenda but najua watanzania wengu walimpenda) so wale waliompenda tangu mama aingie ni kama wamekuwa wapweke( wanaona wametengwa na chama baada ya mtu wao kufa)
Kwa sababu hiyo kulikuwa na uwezekano mkubwa wa 2025 chama kupata wakati mgumu kujiuza kanda ya ziwa na kwa wafuasi wa JPM na hapo ndo jina la Makonda lilipoingia
Makonda anaaminika kuwa mfuasi no 1 wa JPM
Na JPM anaaminika kuwa na nguvu kubwa kanda ya ziwa
Makonda ni msuukuma wa kanda ya ziwa
Na atlast kazi zake ameanzia kanda ya ziwa
Sasa wapinzani wacheze ngoma ya kondaboy tuone itakavyokuwa but trust me Makonda sahiz anauwezo wa kumfukiza kazi Wazir na mama akabarik kwa sababu anaona Makonda anamrudishia kanda ya ziwa na watu wa JPM
- anavuka mipaka
- haba mamlaka ya kumwagiza pm/wazir ay wakuu wa mikoa
- amejisahau anarud yule yule wa zamani
Nk
But je mnadhan anafanya haya yeye tu kwa akili yake?
Kama anayofanya hayana baraka za mama asingekuwa ameshamuonya? Katibu mguu angekuwa hajamuonya? Pm angekuwa hahamuonya?
Kwa bahati mbaya Tanzania serikali na chama vimeungana(mwenyekiti wa chama ndo raisi wa nchi) so chama kina nguvu zaid ya serikali maana mtendaji yoyote wa serikali anaweza kuwajibishwa na chama ndo inayompa nguvu Makonda
So ukweli ni kwamba hakuna mtu yoyote mwenye nguvu ya kumpinga Makonda zaid ya mama mwenyewe na kwa sababu mama hampingi maana yake anayofanya ametumwa na mama so walioko chini ya mama lazima wanywee!
Mwisho kabisa me naamin Makonda karudishwa maksud kabisa (strategic) kujarb kuirudisha kanda ya ziwa mikonini mwa mama
Ukweli ni kuwa watanzania wengi sana walimpenda JPM( mimi sukumpenda but najua watanzania wengu walimpenda) so wale waliompenda tangu mama aingie ni kama wamekuwa wapweke( wanaona wametengwa na chama baada ya mtu wao kufa)
Kwa sababu hiyo kulikuwa na uwezekano mkubwa wa 2025 chama kupata wakati mgumu kujiuza kanda ya ziwa na kwa wafuasi wa JPM na hapo ndo jina la Makonda lilipoingia
Makonda anaaminika kuwa mfuasi no 1 wa JPM
Na JPM anaaminika kuwa na nguvu kubwa kanda ya ziwa
Makonda ni msuukuma wa kanda ya ziwa
Na atlast kazi zake ameanzia kanda ya ziwa
Sasa wapinzani wacheze ngoma ya kondaboy tuone itakavyokuwa but trust me Makonda sahiz anauwezo wa kumfukiza kazi Wazir na mama akabarik kwa sababu anaona Makonda anamrudishia kanda ya ziwa na watu wa JPM