Anaandika Askofu BENSON BAGONZA (PhD) uchuro wa taifa

Anaandika Askofu BENSON BAGONZA (PhD) uchuro wa taifa

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
8,551
Reaction score
20,346
Anaandika Askofu BENSON BAGONZA (PhD)

UCHURO WA TAIFA: Tuzinduke.

Nianze kwa kutoa salaam zangu za pole kwa familia ya hayati Job Ndugai. Pole kwa Ofisi nzima ya Bunge (Kupitia Katibu wa Bunge). Pole kwa Mh. Rais. Pole zaidi kwa taifa letu kutokana na msiba huu.

Kuna kitu kisicho cha kawaida katika taifa letu. Dalili zake ni hizi;

1. Akifa Mwana siasa kutoka chama tawala, watu wanashangilia na kukejeli.

2. Akifa kiongozi wa kitaifa au jamaa yake, watu wanashangilia.

3. Watumishi wa serikali kutoka idara fulani fulani zinazogusa masuala ya haki za watu, wakipata janga lolote, watu wanashangilia.

4. Watu wasio serikalini au kwenye siasa lakini wana ukaribu na wana siasa na viongozi wa serikali, wakipata majanga au misiba, watu wanashangilia.

5. Viongozi wa dini, wa ukweli na wa uwongo (Mungu ajua), wakiwatabiria mabaya wanasiasa, wanaaminika. Wakiwatabiria mazuri, wanatukanwa. Mungu amemilikishwa kwa watu wenye chuki dhidi ya viongozi.

HUU NI UCHURO WA TAIFA. HAUKUBALIKI.

Kwa nini tumefika hapa?

a. Mifumo ya utoaji haki katika taifa imefunikwa na giza linalokatisha tamaa wanyonge. Kimbilio lao limekuwa ni Mungu wa visasi. Shida zimewasahaulisha Mungu
wa Upendo.

b. Watu maskini na wanyonge wana hasira inayogeuka kuwa ukatili. Wanajiona yatima wasio na mtetezi. Adui yao mkuu siyo umaskini, ujinga na maradhi bali watawala, rafiki za watawala na ndugu wa watawala. Ukisikia wanasema “wao wana fedha, sisi tuna Mungu” elewa huyo Mungu ni silaha ya kuwaua watawala. Tuzinduke.

c. Tulifuta ukabila, udini, ueneo, na ubaguzi wa rangi. Bila kushtuka au kukubali kushtuliwa, tumeunda matabaka mawili makubwa: Watawala na watawaliwa. Moja lina uhakika wa kuishi na kutawala, jingine halina uhakika wa kuishi, kutawala, ajira, na usalama. Ndani ya matabaka hayo, yameibuka matabaka mengine madogo madogo yanayogombania makombo. Tabaka moja linasema “utanifanya nini?” Na jingine linasema “namwachia Mungu”.

Kutokana na kiwango cha UCHURO WA TAIFA tulichofikia, hakuna mtu au kundi lililo salama. Mkosoaji, chawa, na vizalia vyao, hawako salama. Ghadhabu ya watu maskini inawaka vifuani huku viburi na jeuri ya wenye madaraka ikitamalaki. Tushtuke.

TUSIPUUZE WITO WA KURUDI MEZANI
TUHARAKISHE MJADALA WA KITAIFA
HAKUNA HEKIMA ILIYOCHELEWA..


C&P
 
Anaandika Askofu BENSON BAGONZA (PhD)

UCHURO WA TAIFA: Tuzinduke.

Nianze kwa kutoa salaam zangu za pole kwa familia ya hayati Job Ndugai. Pole kwa Ofisi nzima ya Bunge (Kupitia Katibu wa Bunge). Pole kwa Mh. Rais. Pole zaidi kwa taifa letu kutokana na msiba huu.

Kuna kitu kisicho cha kawaida katika taifa letu. Dalili zake ni hizi;

1. Akifa Mwana siasa kutoka chama tawala, watu wanashangilia na kukejeli.

2. Akifa kiongozi wa kitaifa au jamaa yake, watu wanashangilia.

3. Watumishi wa serikali kutoka idara fulani fulani zinazogusa masuala ya haki za watu, wakipata janga lolote, watu wanashangilia.

4. Watu wasio serikalini au kwenye siasa lakini wana ukaribu na wana siasa na viongozi wa serikali, wakipata majanga au misiba, watu wanashangilia.

5. Viongozi wa dini, wa ukweli na wa uwongo (Mungu ajua), wakiwatabiria mabaya wanasiasa, wanaaminika. Wakiwatabiria mazuri, wanatukanwa. Mungu amemilikishwa kwa watu wenye chuki dhidi ya viongozi.

HUU NI UCHURO WA TAIFA. HAUKUBALIKI.

Kwa nini tumefika hapa?

a. Mifumo ya utoaji haki katika taifa imefunikwa na giza linalokatisha tamaa wanyonge. Kimbilio lao limekuwa ni Mungu wa visasi. Shida zimewasahaulisha Mungu
wa Upendo.

b. Watu maskini na wanyonge wana hasira inayogeuka kuwa ukatili. Wanajiona yatima wasio na mtetezi. Adui yao mkuu siyo umaskini, ujinga na maradhi bali watawala, rafiki za watawala na ndugu wa watawala. Ukisikia wanasema “wao wana fedha, sisi tuna Mungu” elewa huyo Mungu ni silaha ya kuwaua watawala. Tuzinduke.

c. Tulifuta ukabila, udini, ueneo, na ubaguzi wa rangi. Bila kushtuka au kukubali kushtuliwa, tumeunda matabaka mawili makubwa: Watawala na watawaliwa. Moja lina uhakika wa kuishi na kutawala, jingine halina uhakika wa kuishi, kutawala, ajira, na usalama. Ndani ya matabaka hayo, yameibuka matabaka mengine madogo madogo yanayogombania makombo. Tabaka moja linasema “utanifanya nini?” Na jingine linasema “namwachia Mungu”.

Kutokana na kiwango cha UCHURO WA TAIFA tulichofikia, hakuna mtu au kundi lililo salama. Mkosoaji, chawa, na vizalia vyao, hawako salama. Ghadhabu ya watu maskini inawaka vifuani huku viburi na jeuri ya wenye madaraka ikitamalaki. Tushtuke.

TUSIPUUZE WITO WA KURUDI MEZANI
TUHARAKISHE MJADALA WA KITAIFA
HAKUNA HEKIMA ILIYOCHELEWA..


C&P
Aisee🤔...

Huyu Askofu ni kichwa hasa...

Hekima na busara tupu hapa..

Ni madini ya thamani hasa toka kwa Askofu Bagonza, madini yanayorutubisha ufahamu na akili za yeyote wapendao maarifa...

Asante sana Askofu Kalikawe Bagonza. Nimejifunza kitu kikubwa sana toka kwenye maneno yako haya..
🙏🙏🙏🙏
 
Aacha kuropoka
20240929_170116.jpg
 
Aisee

Aisee...

Hekima na busara tupu hapa..

Ni madini ya thamani hasa toka kwa Askofu Bagonza, madini yanarutubisha ufahamu na akili za wote wapendao maarifa...

Asante sana Askofu Kalikawe Bagonza. Nimejifunza kitu kikubwa sana toka kwenye maneno yako haya..
🙏🙏🙏🙏
That man is great 👍
 
Anaandika Askofu BENSON BAGONZA (PhD)

UCHURO WA TAIFA: Tuzinduke.

Nianze kwa kutoa salaam zangu za pole kwa familia ya hayati Job Ndugai. Pole kwa Ofisi nzima ya Bunge (Kupitia Katibu wa Bunge). Pole kwa Mh. Rais. Pole zaidi kwa taifa letu kutokana na msiba huu.

Kuna kitu kisicho cha kawaida katika taifa letu. Dalili zake ni hizi;

1. Akifa Mwana siasa kutoka chama tawala, watu wanashangilia na kukejeli.

2. Akifa kiongozi wa kitaifa au jamaa yake, watu wanashangilia.

3. Watumishi wa serikali kutoka idara fulani fulani zinazogusa masuala ya haki za watu, wakipata janga lolote, watu wanashangilia.

4. Watu wasio serikalini au kwenye siasa lakini wana ukaribu na wana siasa na viongozi wa serikali, wakipata majanga au misiba, watu wanashangilia.

5. Viongozi wa dini, wa ukweli na wa uwongo (Mungu ajua), wakiwatabiria mabaya wanasiasa, wanaaminika. Wakiwatabiria mazuri, wanatukanwa. Mungu amemilikishwa kwa watu wenye chuki dhidi ya viongozi.

HUU NI UCHURO WA TAIFA. HAUKUBALIKI.

Kwa nini tumefika hapa?

a. Mifumo ya utoaji haki katika taifa imefunikwa na giza linalokatisha tamaa wanyonge. Kimbilio lao limekuwa ni Mungu wa visasi. Shida zimewasahaulisha Mungu
wa Upendo.

b. Watu maskini na wanyonge wana hasira inayogeuka kuwa ukatili. Wanajiona yatima wasio na mtetezi. Adui yao mkuu siyo umaskini, ujinga na maradhi bali watawala, rafiki za watawala na ndugu wa watawala. Ukisikia wanasema “wao wana fedha, sisi tuna Mungu” elewa huyo Mungu ni silaha ya kuwaua watawala. Tuzinduke.

c. Tulifuta ukabila, udini, ueneo, na ubaguzi wa rangi. Bila kushtuka au kukubali kushtuliwa, tumeunda matabaka mawili makubwa: Watawala na watawaliwa. Moja lina uhakika wa kuishi na kutawala, jingine halina uhakika wa kuishi, kutawala, ajira, na usalama. Ndani ya matabaka hayo, yameibuka matabaka mengine madogo madogo yanayogombania makombo. Tabaka moja linasema “utanifanya nini?” Na jingine linasema “namwachia Mungu”.

Kutokana na kiwango cha UCHURO WA TAIFA tulichofikia, hakuna mtu au kundi lililo salama. Mkosoaji, chawa, na vizalia vyao, hawako salama. Ghadhabu ya watu maskini inawaka vifuani huku viburi na jeuri ya wenye madaraka ikitamalaki. Tushtuke.

TUSIPUUZE WITO WA KURUDI MEZANI
TUHARAKISHE MJADALA WA KITAIFA
HAKUNA HEKIMA ILIYOCHELEWA..


C&P
Wakizuka hapa chawa wa watwawala patawaka moto niko paleee,kushuhudia,japo nimatamanio yangu kuwa chawa wasije,ila waje walioona uzito wa ujumbe uliobebwa hapa.
 
Huyu ni kasisi wa Dini kweli? Kanisa lake eanamrihisu kufanya haya kweli? Hijasokia jjata siku moja akiyoa maidhui ya Waefeso au toba au hijab au Wito wa Usista. Ni eakala wa Ibilisi, no question about it. Sasa kuna huyu na Polepole sasa sijui itakuwaje?
 
siku hizi nimekuwa kimya tu na kuangalia mambo yanavyojiendea

askofu kaongea kweli ya nini kilichopo moyoni mwa watanzania wengi

kuna chuki kubwa sana ya wanyonge kutwezwa na kudharauliwa na utawala huu wa sasa

wanyonge hawana kimbilio zaidi ya kusubiri matukio kama haya na kujitokeza na kufurahi sana

watawala wakiendelea kushupaza shingo hali itakuwa mbaya zaidi ya hapa
 
Mam
Anaandika Askofu BENSON BAGONZA (PhD)

UCHURO WA TAIFA: Tuzinduke.

Nianze kwa kutoa salaam zangu za pole kwa familia ya hayati Job Ndugai. Pole kwa Ofisi nzima ya Bunge (Kupitia Katibu wa Bunge). Pole kwa Mh. Rais. Pole zaidi kwa taifa letu kutokana na msiba huu.

Kuna kitu kisicho cha kawaida katika taifa letu. Dalili zake ni hizi;

1. Akifa Mwana siasa kutoka chama tawala, watu wanashangilia na kukejeli.

2. Akifa kiongozi wa kitaifa au jamaa yake, watu wanashangilia.

3. Watumishi wa serikali kutoka idara fulani fulani zinazogusa masuala ya haki za watu, wakipata janga lolote, watu wanashangilia.

4. Watu wasio serikalini au kwenye siasa lakini wana ukaribu na wana siasa na viongozi wa serikali, wakipata majanga au misiba, watu wanashangilia.

5. Viongozi wa dini, wa ukweli na wa uwongo (Mungu ajua), wakiwatabiria mabaya wanasiasa, wanaaminika. Wakiwatabiria mazuri, wanatukanwa. Mungu amemilikishwa kwa watu wenye chuki dhidi ya viongozi.

HUU NI UCHURO WA TAIFA. HAUKUBALIKI.

Kwa nini tumefika hapa?

a. Mifumo ya utoaji haki katika taifa imefunikwa na giza linalokatisha tamaa wanyonge. Kimbilio lao limekuwa ni Mungu wa visasi. Shida zimewasahaulisha Mungu
wa Upendo.

b. Watu maskini na wanyonge wana hasira inayogeuka kuwa ukatili. Wanajiona yatima wasio na mtetezi. Adui yao mkuu siyo umaskini, ujinga na maradhi bali watawala, rafiki za watawala na ndugu wa watawala. Ukisikia wanasema “wao wana fedha, sisi tuna Mungu” elewa huyo Mungu ni silaha ya kuwaua watawala. Tuzinduke.

c. Tulifuta ukabila, udini, ueneo, na ubaguzi wa rangi. Bila kushtuka au kukubali kushtuliwa, tumeunda matabaka mawili makubwa: Watawala na watawaliwa. Moja lina uhakika wa kuishi na kutawala, jingine halina uhakika wa kuishi, kutawala, ajira, na usalama. Ndani ya matabaka hayo, yameibuka matabaka mengine madogo madogo yanayogombania makombo. Tabaka moja linasema “utanifanya nini?” Na jingine linasema “namwachia Mungu”.

Kutokana na kiwango cha UCHURO WA TAIFA tulichofikia, hakuna mtu au kundi lililo salama. Mkosoaji, chawa, na vizalia vyao, hawako salama. Ghadhabu ya watu maskini inawaka vifuani huku viburi na jeuri ya wenye madaraka ikitamalaki. Tushtuke.

TUSIPUUZE WITO WA KURUDI MEZANI
TUHARAKISHE MJADALA WA KITAIFA
HAKUNA HEKIMA ILIYOCHELEWA..


C&P
Mama yake Bagonza alikuwa anaumwa huko Burundi, sijui anaendeleaje
 
Huyu ni kasisi wa Dini kweli? Kanisa lake eanamrihisu kufanya haya kweli? Hijasokia jjata siku moja akiyoa maidhui ya Waefeso au toba au hijab au Wito wa Usista. Ni eakala wa Ibilisi, no question about it. Sasa kuna huyu na Polepole sasa sijui itakuwaje?
Duh! Hata wewe ukirudia kusoma ulichondika naamini utapatwa na mshangao
 
Nasubiria kwa hamu sana Mungu avune bibi chaudere na mr cheka cheka nitafanya sherehe kubwa sana
 
Huyu ni kasisi wa Dini kweli? Kanisa lake eanamrihisu kufanya haya kweli? Hijasokia jjata siku moja akiyoa maidhui ya Waefeso au toba au hijab au Wito wa Usista. Ni eakala wa Ibilisi, no question about it. Sasa kuna huyu na Polepole sasa sijui itakuwaje?
Unaweza kutusomea ulichoandika hapa?
 
Anaandika Askofu BENSON BAGONZA (PhD)

UCHURO WA TAIFA: Tuzinduke.

Nianze kwa kutoa salaam zangu za pole kwa familia ya hayati Job Ndugai. Pole kwa Ofisi nzima ya Bunge (Kupitia Katibu wa Bunge). Pole kwa Mh. Rais. Pole zaidi kwa taifa letu kutokana na msiba huu.

Kuna kitu kisicho cha kawaida katika taifa letu. Dalili zake ni hizi;

1. Akifa Mwana siasa kutoka chama tawala, watu wanashangilia na kukejeli.

2. Akifa kiongozi wa kitaifa au jamaa yake, watu wanashangilia.

3. Watumishi wa serikali kutoka idara fulani fulani zinazogusa masuala ya haki za watu, wakipata janga lolote, watu wanashangilia.

4. Watu wasio serikalini au kwenye siasa lakini wana ukaribu na wana siasa na viongozi wa serikali, wakipata majanga au misiba, watu wanashangilia.

5. Viongozi wa dini, wa ukweli na wa uwongo (Mungu ajua), wakiwatabiria mabaya wanasiasa, wanaaminika. Wakiwatabiria mazuri, wanatukanwa. Mungu amemilikishwa kwa watu wenye chuki dhidi ya viongozi.

HUU NI UCHURO WA TAIFA. HAUKUBALIKI.

Kwa nini tumefika hapa?

a. Mifumo ya utoaji haki katika taifa imefunikwa na giza linalokatisha tamaa wanyonge. Kimbilio lao limekuwa ni Mungu wa visasi. Shida zimewasahaulisha Mungu
wa Upendo.

b. Watu maskini na wanyonge wana hasira inayogeuka kuwa ukatili. Wanajiona yatima wasio na mtetezi. Adui yao mkuu siyo umaskini, ujinga na maradhi bali watawala, rafiki za watawala na ndugu wa watawala. Ukisikia wanasema “wao wana fedha, sisi tuna Mungu” elewa huyo Mungu ni silaha ya kuwaua watawala. Tuzinduke.

c. Tulifuta ukabila, udini, ueneo, na ubaguzi wa rangi. Bila kushtuka au kukubali kushtuliwa, tumeunda matabaka mawili makubwa: Watawala na watawaliwa. Moja lina uhakika wa kuishi na kutawala, jingine halina uhakika wa kuishi, kutawala, ajira, na usalama. Ndani ya matabaka hayo, yameibuka matabaka mengine madogo madogo yanayogombania makombo. Tabaka moja linasema “utanifanya nini?” Na jingine linasema “namwachia Mungu”.

Kutokana na kiwango cha UCHURO WA TAIFA tulichofikia, hakuna mtu au kundi lililo salama. Mkosoaji, chawa, na vizalia vyao, hawako salama. Ghadhabu ya watu maskini inawaka vifuani huku viburi na jeuri ya wenye madaraka ikitamalaki. Tushtuke.

TUSIPUUZE WITO WA KURUDI MEZANI
TUHARAKISHE MJADALA WA KITAIFA
HAKUNA HEKIMA ILIYOCHELEWA..


C&P
Maskini ndio zake hakuna cha uchuro
 
Back
Top Bottom