Ana mimba yangu, cha ajabu anataka tuachane

Ana mimba yangu, cha ajabu anataka tuachane

Yupo form idadi ya vidole kwenye avatar yako...

Unataka uwe mama ake wa kufikia?
Akha toto lote hilo,si ataufanya mwili wangu mazoezi maana nitashindwa ht kumchapa akikosea,sasa badala ya kumchapa yeye atakuwa ananichapa mimi
 
ahahahaaaaa hujawahi kutia sembuse kumpa binti mimba. Nway poyeeee
 
Akha toto lote hilo,si ataufanya mwili wangu mazoezi maana nitashindwa ht kumchapa akikosea,sasa badala ya kumchapa yeye atakuwa ananichapa mimi
Hahahaaa husiliogope bhana baba ake nipo tutachapana sie usiku.
 
Asante sana mkuu kwa ushauri mzuri,ila kumbuka mtt anauma bhana,mi nina watoto watatu wa mama tofauti najua damu inavouma
Now mwache huru kama atakavyo na kama mtoto utampata tu damu ya mtu haidhulumiwi ila najua mimba ndo itakua imepeleka yeye kutaka muachane so now tulia hadi pale atapokuhitaji yeye mwenyewe mimba zina mambo mengi sana kuwa mpole tu.
 
Hapo lazima uwe makini maana
Mimba zina visirani vingi kuna jamaa wife akiwa na mimba ni vita mpaka atapelekwa polisi ila ikipita muda fulani basi kinatulia.

Hapo kama sio busara unakuta mimba imevunja ndoa
 
Kuna mawili.Mimba si yako au hakuwa na mpabgo na ww mlilala kwa bahati mbaya manake umesema hapa ilikuwa ni once
 
Wadau habari zenu?

Nina msichana ambaye kwa bahati mbaya siku ya kwanza tu tumeonana nakumbuka alilala kwangu tulifanya mapenzi bila condom[emoji5] [emoji5] [emoji5]. Sasa huyo binti anadai ana mimba yangu ambayo sasa ni miezi minne.

Kilichonistaajabisha ni kwamba ananiambia tuachane na hataki habari za mapenzi na mimi na hadi kliniki kaenda peke yake. Sina amani najiuliza ni kweli mimba ni yangu?
Ameshajua tabia yako kwamba wewe ni mtoa mbegu kama ulivyojibainisha mwenyewe hapa.
 
Wadau habari zenu?

Nina msichana ambaye kwa bahati mbaya siku ya kwanza tu tumeonana nakumbuka alilala kwangu tulifanya mapenzi bila condom[emoji5] [emoji5] [emoji5]. Sasa huyo binti anadai ana mimba yangu ambayo sasa ni miezi minne.

Kilichonistaajabisha ni kwamba ananiambia tuachane na hataki habari za mapenzi na mimi na hadi kliniki kaenda peke yake. Sina amani najiuliza ni kweli mimba ni yangu?
Kafyetue kwingine....

Elimu si bure.. Mama anaona anamudu
 
Wadau habari zenu?

Nina msichana ambaye kwa bahati mbaya siku ya kwanza tu tumeonana nakumbuka alilala kwangu tulifanya mapenzi bila condom[emoji5] [emoji5] [emoji5]. Sasa huyo binti anadai ana mimba yangu ambayo sasa ni miezi minne.

Kilichonistaajabisha ni kwamba ananiambia tuachane na hataki habari za mapenzi na mimi na hadi kliniki kaenda peke yake. Sina amani najiuliza ni kweli mimba ni yangu?

Kupata mtu potential wa kumsingizia, jitu lenyewe bahili kweli
 
Wadau habari zenu?

Nina msichana ambaye kwa bahati mbaya siku ya kwanza tu tumeonana nakumbuka alilala kwangu tulifanya mapenzi bila condom[emoji5] [emoji5] [emoji5]. Sasa huyo binti anadai ana mimba yangu ambayo sasa ni miezi minne.

Kilichonistaajabisha ni kwamba ananiambia tuachane na hataki habari za mapenzi na mimi na hadi kliniki kaenda peke yake. Sina amani najiuliza ni kweli mimba ni yangu?
Umeshikishwa ww shtuka
 
Back
Top Bottom