Mkuu tena hongeraaa mkuuuu sasa huyu wangapi tena keep it up brother mpaka 100 au sioWadau habari zenu?
Nina msichana ambaye kwa bahati mbaya siku ya kwanza tu tumeonana nakumbuka alilala kwangu tulifanya mapenzi bila condom[emoji5] [emoji5] [emoji5]. Sasa huyo binti anadai ana mimba yangu ambayo sasa ni miezi minne.
Kilichonistaajabisha ni kwamba ananiambia tuachane na hataki habari za mapenzi na mimi na hadi kliniki kaenda peke yake. Sina amani najiuliza ni kweli mimba ni yangu?
hii kali [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Kama vipi mwambie akupe mimba "yako" uilee mwenyewe!!.
Huyo kwenye avatar yupo darasa la ngapi?Kwani mlifanya matusi gizani au? km jibu ndiyo,basi itakuwa ulipizi upepo nae alisikia kabisa ila aliamua kukupa bichwa ujione kidume.
Yupo form idadi ya vidole kwenye avatar yako...Huyo kwenye avatar yupo darasa la ngapi?
Ndio imetimiatangu mfanyane miezi minne imefika?
Khaa[emoji15]mimba ishampata baba anayejielewa we shukuru umedonate mbegu
Mkuu mbona mi nipo poa tuYaani hii inajidhihirisha wewe ni mtu wa aina gani, fikiria mpaka mdada mwenye ujauzito wako ameamua ni kheri akae mbali na wewe. Mkuu hembu jichukunguze kidogo😀😀😀
Sikuwa na mpango nae wowoteKwani wewe ulikua na mpango gani nae mkuu ?
Mkuu huyu atakuwa ni watanoMkuu tena hongeraaa mkuuuu sasa huyu wangapi tena keep it up brother mpaka 100 au sio
Asante sana mkuu kwa ushauri mzuri,ila kumbuka mtt anauma bhana,mi nina watoto watatu wa mama tofauti najua damu inavoumaAchana nae kama anavotaka yeye usilazimishe kua nae,kua na mimba yako isiwe kigezo!