InvisibleTarget
JF-Expert Member
- Dec 20, 2014
- 1,126
- 2,122
Akili unazo ila umeamua kuzipa umwisho. Ifanye hii iwe no.1 na pekee hayo mengine achana nayo kuepusha matatizo ya mbeleni.3. Nikimfikiria mwanaume mwenzangu naona sitomtendea haki katika ndoa yake pale atakapomshkuru Mungu kwa kupata mtoto.