mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,963
Habari zenu / Shikamooni / Assalaam alaykum / Bwana asifiwe
Poleni na changamoto za kupambana na CORONA, lakini maisha yanatakiwa yaendelee kwa jitihada tofauti na nawausia msisahau kuchukua tahadhari ikiwemo KUPIGA NYUNGU walau kutwa mara tatu.
AMA BAADA YA SALAMU:-
Najua kwa haraka haraka unaweza ukasema kuwa mimi ni boya kwa sababu ya kuleta mada hii. lakini ifahamike kuwa suala hili limenibidi kutafakari mara mbili na hatimaye kuomba ushauri kabla ya maamuzi.
Huyu bint sikuwa najua kama ana mchumba na alinambia kuwa hana mtu, mzee baba nikawa najipigia mambo. Lakini tangu mwaka huu umeingia kuna jambo moja nilimfanyia kumbe kwake lilikuwa la thamani sana. (Sikuwa najua hili)
Leo akanitafuta na akaomba nikiwa na utulivu tuongee kwa kina. Basi nikalazimisha kupata utulivu ili kujua nini kinamsibu. Kiukweli nikwamba alinambia kuwa ana mchumba na anataka kufunga naye ndoa. Na aliomba msamaha kwa kutonijulisha lakini kwakuwa sikumuweka sana moyoni sikuwaza.
Lakini aliomba nimtie mimba na iwe kama kumbu kumbu kwake, alisema kuwa tukutane siku chache kabla ya harusi yake na akishajihakikishia kuwa ana mimba yangu ndio afunge ndoa na huyo bwana. Mshkaji inasemekana kuwa pesa ipo....
Suala hili sikumjibu moja kwa moja kwanza sijui ni kutokana na ufinyu wa akili yangu lakini nikaona ni bora nije kwa ma GREAT THINKER angalau naweza kupata mwangaza walau kidogo.
Maana kila nikiaa nawaza haya.
1. Kwanini alinificha na hakusema kuwa ana mchummba?
2. Kama ananipenda kwanini asiseme nimuoe mimi?
3. Nikimfikiria mwwanaume mwenzangu naona sitomtendea haki katika ndoa yake pale atakapomshkuru Mungu kwa kupata mtoto.
Swali kwenu wakubwa ni upi uamuzi wa busara hapa?
Poleni na changamoto za kupambana na CORONA, lakini maisha yanatakiwa yaendelee kwa jitihada tofauti na nawausia msisahau kuchukua tahadhari ikiwemo KUPIGA NYUNGU walau kutwa mara tatu.
AMA BAADA YA SALAMU:-
Najua kwa haraka haraka unaweza ukasema kuwa mimi ni boya kwa sababu ya kuleta mada hii. lakini ifahamike kuwa suala hili limenibidi kutafakari mara mbili na hatimaye kuomba ushauri kabla ya maamuzi.
Huyu bint sikuwa najua kama ana mchumba na alinambia kuwa hana mtu, mzee baba nikawa najipigia mambo. Lakini tangu mwaka huu umeingia kuna jambo moja nilimfanyia kumbe kwake lilikuwa la thamani sana. (Sikuwa najua hili)
Leo akanitafuta na akaomba nikiwa na utulivu tuongee kwa kina. Basi nikalazimisha kupata utulivu ili kujua nini kinamsibu. Kiukweli nikwamba alinambia kuwa ana mchumba na anataka kufunga naye ndoa. Na aliomba msamaha kwa kutonijulisha lakini kwakuwa sikumuweka sana moyoni sikuwaza.
Lakini aliomba nimtie mimba na iwe kama kumbu kumbu kwake, alisema kuwa tukutane siku chache kabla ya harusi yake na akishajihakikishia kuwa ana mimba yangu ndio afunge ndoa na huyo bwana. Mshkaji inasemekana kuwa pesa ipo....
Suala hili sikumjibu moja kwa moja kwanza sijui ni kutokana na ufinyu wa akili yangu lakini nikaona ni bora nije kwa ma GREAT THINKER angalau naweza kupata mwangaza walau kidogo.
Maana kila nikiaa nawaza haya.
1. Kwanini alinificha na hakusema kuwa ana mchummba?
2. Kama ananipenda kwanini asiseme nimuoe mimi?
3. Nikimfikiria mwwanaume mwenzangu naona sitomtendea haki katika ndoa yake pale atakapomshkuru Mungu kwa kupata mtoto.
Swali kwenu wakubwa ni upi uamuzi wa busara hapa?
