MchepukoDuuh...nilikuwa nae wa hivyo na mpaka leo sijamuacha na siwezi kumuacha ingawa kaolewa
kwanini hukuoa mkuuDuuh...nilikuwa nae wa hivyo na mpaka leo sijamuacha na siwezi kumuacha ingawa kaolewa
Tupo sana tunapitia comment zenu tu,wengine wanapita wanacheka kimya kimya.Uzi huu ni konki sana, hakuna she hata mmoja aliyejichanganya kuingia
Respect guys.
Piga sana mpaka yakianza kutoka ongeza Speed yatoke mengi zaidi yakikata tu mwagia vinegar fasta atarudi ktk hali ya kawaida pia apunguze kula ndizi BukobaUmofia kwenu wakuu, naomba mumsaidie mwanamke wangu ana maji mengi Hadi anakosa confidence ya kuduu.
Mimi mwenyewe yananikera lakini Basi tu ninampenda Sana siwezi kumwacha.
Afanye Nini maji yapungue?hata yy haiendi Hali hiyo,yaan mkidoo godolo lazma lilowe,msaada tafadhali.
hahahah.daah mwanangu bangi unayotumia ya mkoa gani?.Mkuu jihandae kulipa tozo za hicho kisima.
Dah Mkuu umenichekesha sana aisee,kiukweli inatakiwa apige mzigo hayo hukauka yenyewe.Kumbe wewe ni goigoi,piga mashine mpaka yakauke halafu baadae unatafuta kilainishi,wewe dhaifu sana.
Kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji au kwa ajili ya nini mkuu?Hayo maji mimi nayatafuta![emoji4][emoji4][emoji4]