Ana Kilango na Sendeka wako wapi?

Ana Kilango na Sendeka wako wapi?

Sir R

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2009
Posts
2,175
Reaction score
300
Siwasikii tena makada hawa wawili wa CCM katika harakati hii ya kujivua gamba kwa chama chao.
Nini kimewafunga midomo? Sitta kukosa uuspika au Malechele kushindwa ubunge? Au wameona kushindana na mafisadi nini kazi bure kwani mafisadi wanaungwa mkono na JK?

Wako upande gani katika movie hii ya kujivua magamba?

Nawasilisha.
 
<p>
Siwasikii tena makada hawa wawili wa CCM katika harakati hii ya kujivua gamba kwa chama chao.</p>
<p>Nini kimewafunga midomo? Sitta kukosa uuspika au Malechele kushindwa ubunge? Au wameona kushindana na mafisadi nini kazi bure kwani mafisadi wanaungwa mkono na JK? </p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Wako upande gani katika movie hii ya kujivua magamba?</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Nawasilisha.
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
kelele zile zilikuwa za kutafuta uwaziri. ilivyopita, biashara ikaisha. lkn ni bora watulie majimboni wawatumikie wapiga kura wao
 
Sijui sana kuhusu Ole Sendeka, ila Anna Kilango ni rafiki wa karibu sana na spika Anne Makinda. Kwenye arusi yake na Mzee Malecela, Anne Makinda ndiye aliyekuwa matron wake. Sasa hapo si unaonatunavyopigwa changa la moto? Kuna katabaka ka watu walioko kwenye madaraka ambao hata hizo kelele za kujivua magamba inakuwa kama kelele za chura kwenye maji. Kwa kifupi ni usanii wa ccm, nia na madhumuni yao ni kuigeuza nchi yetu kuwa ya kisultani. Vyeo vitaendelea kutolewa kwa majina. Anna Kilango amekumbuka kuwa yeye ni Mama Malecela, na ni swahiba wa spika! Kaaaaaazi kweli kweli!
 
Hawa Makamanda wa ufisadi wameishiwa nguvu wako taabani.
 
Hawa si ndio mlikuwa mnawaita wapiganaji? output sijui iko wapi?

Nways, kwa 'mkakati zaidi wa kupambana na ufisadi' labda muulize mzee wa 'ze dataz' labda mtaongea lugha moja, sie wengine tulishabaini necha ya huu usanii kitambo sana.
 
Back
Top Bottom