Mechanical Engineer
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 230
- 130
AiseeAcha kuongea mashudu.
Hela na taaluma ni mambo mawili tofauti labda kama mwalimu wako wa chekechea hukumuelewa vizuri.
Bakhresa ana taaluma gani?
Nikisema taaluma namaanisha makaratasi yangu ya vyeti na hela nilizonazo haviendani, sasa kuna ajabu gani hapo?