Alafu unaweza kukuta mwenye hii GPA ni mwanaume kabisaMwenye kujua kama inawezekana kusoma Degree ya pili (Masters) kwa mwenye GPA ya 2.6.
Na kama inawezekana utaratibu upoje? Na je huyu mtu mwenye GPA ya 2.6 anaweza kupata Scholarship?
Karibuni wajuzi wa mambo
Alafu unaweza kukuta mwenye hii GPA ni mwanaume kabisa
Mbona unambeza? Wewe ulipata first class? Ulisoma kozi gani? Au ndio uko semester 1?Alafu unaweza kukuta mwenye hii GPA ni mwanaume kabisa
Nilimaliza kitambo mkuu.Mbona unambeza? Wewe ulipata first class? Ulisoma kozi gani? Au ndio uko semester 1?
Utakuaje njema kwenye taaluma kisha ushindwe kupata hela? Uliielewa vyema hiyo taaluma yako? Au ulisoma kitu usichokipenda kwa kufuata mkumbo na umaarufu wa hicho kitu? Unakwama wapi na taaluma yako njema?Nilimaliza kitambo mkuu.
BSc. Sio education.
Kwenye kile chuo kisichopendwa na wengi alafu sikupata Gentleman degree.
Kwenye taaluma nashukuru Mungu niko njema tatizo sijapata hela tu
Kwani GPA unaipata kwa kuwa na nguvu/msuri. Iyo kitu inapatikana kutokana na uwezo wa kukumbuka na nidhamu ya shule. Kuna Watu wengi wameingia chuo na matokeo ya A level mwaka wa kwanza semista ya Kwanzaa tuuu, mtu kafukuzwaAlafu unaweza kukuta mwenye hii GPA ni mwanaume kabisa
Mpe ushauli mkuuAlafu unaweza kukuta mwenye hii GPA ni mwanaume kabisa
Utakuta ni firs yr chuo cha MAKUMILAMbona unambeza? Wewe ulipata first class? Ulisoma kozi gani? Au ndio uko semester 1?
Acha kuongea mashudu.Utakuaje njema kwenye taaluma kisha ushindwe kupata hela? Uliielewa vyema hiyo taaluma yako? Au ulisoma kitu usichokipenda kwa kufuata mkumbo na umaarufu wa hicho kitu? Unakwama wapi na taaluma yako njema?
Mwanaume lazima ukomae upate matokeo mazuri hiyo nido kawaida.Kwani GPA unaipata kwa kuwa na nguvu/msuri. Iyo kitu inapatikana kutokana na uwezo wa kukumbuka na nidhamu ya shule. Kuna Watu wengi wameingia chuo na matokeo ya A level mwaka wa kwanza semista ya Kwanzaa tuuu, mtu kafukuzwa
Makumila ndio chuo ganiUtakuta ni firs yr chuo cha MAKUMILA