ukihamisha utaskia 'BUT MUM ITS NOT FAIR"
mxiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiu SIKAPENDI HAKA KASENTENSI HAKA!ehehehe nimetoka kumlabua mmoja kerbu la maana siku si nying kati hapa!
Hahaha kumbe ndo maana bss ilipotoa demo or tangazo kuhusu matumizi ya condom watu wakawa wakali eti kuna watoto! Nilibaki nashangaa watu wanafuka nini n bss ni show ya vijana na condom zanawahusu sana! Kids hould be kids bwana
Kuna mkaka tulicheza nae one touch sana! Tena kifua wazi manake tshirt ikichafuka na ule mpia wa makaratasi ni msala. Saa hizi ana vijisenti ananitongoza namuangalia hata simmalizi!
Kuna mkaka tulicheza nae one touch sana! Tena kifua wazi manake tshirt ikichafuka na ule mpia wa makaratasi ni msala. Saa hizi ana vijisenti ananitongoza namuangalia hata simmalizi!
hhhahahhahhahhaa walahi nina konfesheni hapa!
mimi mkaka yeyote tulieangua nae mapera sijui nikabutua nae komborela
walahi namuona kama mdada yani i dont even notice kuwa ni mwanaume!
uuuwih bora JF walibuni hiz ID's
kuna watu wangeniundia tume humu
Kuna mkaka tulicheza nae one touch sana! Tena kifua wazi manake tshirt ikichafuka na ule mpia wa makaratasi ni msala. Saa hizi ana vijisenti ananitongoza namuangalia hata simmalizi!
Hahaaaaa,aliona nini wakati vifua vyenu vikiwa wazi?Vilima viwili vya Kibo na Mawenzi vikiota?Muoneee huruma jamani King'asti!Haaaaa,hata mimi tukikutana ukubwani ningeomba tucheze tena mchezo wetu wa kujificha,tunaenda zetu Bagamoyo au Kibaha kujificha King'asti si ulisema uko single,umepatikana leo!!Hahahaaa,,ana ana do!
Shua dina shua dina x2
Nampenda shua dina,shua dina
Shuaa dinaa
Mama yako namjuaa,namjuaaaanamjuaa
Anapika vitumbuaa vitumbuaa ---- moja kaungua kaunguaaa
Nan kajamba nani kajamba mama jofle kwa nin kajamba kwanin kajamba limemponyokaa
Kuna mkaka tulicheza nae
one touch sana! Tena kifua wazi manake tshirt ikichafuka na ule mpia wa
makaratasi ni msala. Saa hizi ana vijisenti ananitongoza namuangalia
hata simmalizi!
huyo ndo mwenye mapenz ya kweli alaf anajiamin coz anajua unajua his historical background we ulitaka utongozwe na nani? au ulitaka utongozwe na watu wa mmu?