AN OPEN LETTER to BAE Systems: Do not return radar money to Tz Government

Jamani Watanzania mbona mmeshikilia hoja ambayo haipo. mimi kaka yangu anafanya kazi pale ubalozini.
BAE wamekubali kupitisha pesa kwenye serikali. Sasa kama mnaandika barua andikeni tu kwa ajili ya kujifurahisha. Yaani Jobu Ndugai ni mwanadiplomasia sana maana mazungumzo hayo mpaka wamesalimu amri.t

Nyie na NGOs zenu huko East London endeleeni na barua za kunywa kahawa na kujifurahisha nafsi zenu. Membe nilikuwa sijui uwezo wake lakini nimemjua kwa sababu ya suala hili. Maana hata Bungeni si cha Chadema au UDP wote wako na kauli moja. Nawapongeza sana Chadema, CUF CCM na vyama vingine maana kweli wameonyesha uzalendo wa kweli.
 
Mimi binafsi nimefurahishwa sana na kitendo cha Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania kupeleka timu ya Wabunge kudai chenji yetu iliyoibwa na BAE System katika uninuzi wa Radar. Taarifa nilizozisikia London ni kwamba BAE wamekubali kupitisha pesa hizo serikalini baada ya kubanwa na Deputy Spika Job Ndugai. Nasikia Kamati ya Bunge ya Masabu ya Serikali ya Uingereza inatarajiwa kuihoji BAE kuhusu suala hili.

Kilichonifurahisha zaidi ni kitendo cha wabunge Wote kuiunga serikali baada ya Waziri Membe kutoa hoja Bungeni. Hata walioandika Barua BAE wajue kwamba hoja zao ni dhaifu na zimeshindwa.
multiquote_40b.png
Thanks
 
Nimetuma b-pepe kwa anwani zote hizo lakini zote zime-bounce! Nimesononeka kweli. Pamoja na kwamba wezi hao wanaweza kupewa hizo pesa kwa sababu za kidiplomasia (si mmeona Bongo tumejinyakulia ushindi nafasi ya pili ya UN katika utoaji bora wa 'huduma za kijamii' duniani - ukishangaa ya Mussa...), nilitaka jina langu liwemo kwenye rekodi ya waliokuwa wanaunga mkono mpango wa BAE kupitisha pesa hizo kwa NGOs.
 
Hakuna atakayekuheshimu kama hujiheshimu na ndicho BAE wanachokijua. Wanajua urahisi wa kuiba TZ na wanajua zikirudi zitaibwa tu.
Hizi zinazorudishwa kama ni ziada, tunajua Vithlani alilipwa commission kutoka katika 'total sum' ya deal nzima, kwa vile zimepunguzwa je ile excess ya Vithlani inarudishwa na nani.

Kabla ya kudai hiyo pesa lazima tudai kwanza ilitokaje, nani walihusika na kwa vipi. Zitto amesema ishu irudi bungeni na wote wamekubali, kama itarudi bungeni swali la kwanza imetokaje hiyo pesa na akina nani wanahusika, wamechukuliwa hatua gani, halafu ndio pesa ijadiliwe.

Hiyo hela si ya ununuzi wa vitabu ni danganya toto, matumizi hayo ameidhinisha nani kwasababu matumizi ya fedha yanaidhinishwa na bunge.

Tutume email jamani, hii serikali inatudhalilisha sana. Muda wote Membe alikua kimya ushujaa na ''moral authority'' ya kuongea sasa anautoa wapi.
JK alikuwa waziri wakati huo ina maana hajui nini kilitokea hadi ajifiche nyuma ya Membe. Bora BAE wasirudishe wanazitaka wagawane.
 
Jamani Watanzania mbona mmeshikilia hoja ambayo haipo. mimi kaka yangu anafanya kazi pale ubalozini...........

Mwambie kaka yako amwambie balozi wa Tanzania UK kuwa amwambie au kumwadikia barua JK kumtunuku bi claire short uraia wa heshima.


BTN
JF kushirikiana na na some NGO ziangalie jisi ya kuwatunuku au kutambua mchango wa hawa wazelendo wasio wazawa katika mchango wao kuhusu hili suala.
 
mimi binafsi nimefurahishwa sana na kitendo cha wizara ya mambo ya nje ya tanzania kupeleka timu ya wabunge kudai chenji yetu iliyoibwa na bae system katika uninuzi wa radar. Taarifa nilizozisikia london ni kwamba bae wamekubali kupitisha pesa hizo serikalini baada ya kubanwa na deputy spika job ndugai. Nasikia kamati ya bunge ya masabu ya serikali ya uingereza inatarajiwa kuihoji bae kuhusu suala hili.

Kilichonifurahisha zaidi ni kitendo cha wabunge wote kuiunga serikali baada ya waziri membe kutoa hoja bungeni. Hata walioandika barua bae wajue kwamba hoja zao ni dhaifu na zimeshindwa.
multiquote_40b.png
thanks
hii tarifa imenisikitisha sana kwakweli plz niambie si kweli!
 
Jamani hii hela siyo refund, siyo compensation, siyo restitution wala siyo reparation. Siyo HAKI yetu kuipata. BAE walipokubali makosa hawakukubali makosa ya kuturusha au ufisadi au rushwa! Walikubali makosa ya kihasibu tu yanahusiana na utunzaji wa kumbukumbu. Na hata makubaliano ya kutoa fedha hayakutolewa na mahakamani makubaliano tu kati ya BAE na SFO. Hivyo fedha hizo kweli kabisa zinatoka katika wema wa BAE ili wasichunguzwe zaidi. Tanzania kama inataka fedha "zake" iwashtaki wahusika, itaifishe mali za Vithlani na kupiga marufu makampuni yake kufanya kazi tena. Wauze ofisi zake n.k

Inashangaa mtu kakimbia tunashindwa kumshtaki in absentia?

Mkuu labda mimi sielewi. Radar si ilinunuliwa na serikali? Serikali si ina wataalam wake mahiri ambao walishiriki katika mchakato wa kununua Radar? serikali si ina wataalam wa mikataba, nk, nk. Hivi huyu Vithlani (Visilani) ni mfanyakazi wa serikali? Najua yeye ni middleman sasa kama kakimbia si kuna wengine ambao ama walikuwa serikalini ama bado wamo serikalini ambao walishirikiana naye? Visilani atafutwe atiwe nguvuni wakati hawa ambao tunao humu tayari wameishatiwa nguvuni kwa kushirikia naye katika kuuhujumu uchumi wetu.
 
June 24th, 2011


BAE Systems will show itself as a friend to the Tanzanian people by returning all the money due to the Tanzanian people directly by supporting projects that will improve their lives by raising their living standard without subjecting the funds to unneeded and sometime cumbersome bureaucracy of the government institutions and hungry politicians.

We the undersigned as Citizens of United Republic of Tanzania we ask you to consider.



Haya tuseme yoooote hayana ukweli, hata hilo la kwenye red jamani?
 
a. Construction or expansion of Business or Law Schools in selected Public universities in Tanzania (mainland and Zanzibar).

Do you mean this country needs more lawyers? For what? Why not expand and modernize medical schools? Or strengthen engineering and science departments in order to foster innovations? We need innovators and not people to help thieves circumvent the law.
 
Jamani Watanzania mbona mmeshikilia hoja ambayo haipo. mimi kaka yangu anafanya kazi pale ubalozini.
BAE wamekubali kupitisha pesa kwenye serikali. Sasa kama mnaandika barua andikeni tu kwa ajili ya kujifurahisha. Yaani Jobu Ndugai ni mwanadiplomasia sana maana mazungumzo hayo mpaka wamesalimu amri.t

Nyie na NGOs zenu huko East London endeleeni na barua za kunywa kahawa na kujifurahisha nafsi zenu. Membe nilikuwa sijui uwezo wake lakini nimemjua kwa sababu ya suala hili. Maana hata Bungeni si cha Chadema au UDP wote wako na kauli moja. Nawapongeza sana Chadema, CUF CCM na vyama vingine maana kweli wameonyesha uzalendo wa kweli.

Kweli Job Ndugai ni mwanadiplomasia saana, ha, ha, haaa, Hebu bonyeza hapa !

[video]http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2011/06/110624_tz_rada_uingereza.shtml[/video]

mwanadiplomasia my foot !
 
Kweli Job Ndugai ni mwanadiplomasia saana, ha, ha, haaa, Hebu bonyeza hapa !

[video]http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2011/06/110624_tz_rada_uingereza.shtml[/video]

mwanadiplomasia my foot !

Kwa nini anaepuka kuzungumzia issue nyeti? Ameulizwa kwa nini Waingereza wakati wanalalamika kuwepo kwa rushwa kwenye manunuzi ya radar, serikali ilikuwa wapi. Etil anasema waliohusika wanapaswa kuona aibu. Then what? Waliohusika wanapaswa kuchukuliwa hatua za kisheria, na sio kuona aibu. Eti cha muhimu ni kuhakikisha serikali inapata fidia. Fidia bila hata kuwachukulia wahusika hatua za kisheria? Analalamika kitendo cha SFO kufunika ushahidi kimeifanya Tanzania ishindwe kuchukua hatua za kisheria dhidi ya wahusika. This is completely rubbish. Tanzania ina sheria na taratibu zake katika kuwashughulikia watu wanaotuhumiwa kwa rushwa. We are an independent state capable of investigating this issue. Mashahidi wenyewe wapo hapa hapa bongo, SFO haijawafunika. Serikali ingekuwa serious na jambo hili, ingekuwa tayari imeshawachukulia hatua wahusika long time. Kama anataka tuwe na uzalendo wa juu kabisa kwa nchi yetu ni lazima serikali iwachukulie hatua wahusika wote badala ya kusema tuu eti wahusika inabidi waone aibu.
 
Membe angelikuwa kweli na uchungu na kulitunza jina nzuri iliyokuwa nalo nchi yetu katika enzi za Mwalimu, angeliishauri kwanza serikali ya Tanzania kuwachukulia hatua wale wote walioshirikiana na BAE system kutuibia, baada ya hapo ndipo atakapokuwa na uhalali wa kupiga kelele anazopiga. Ikumbukwa bila ya kuwachukulia hatua watanzania waliohusika na njama hizi, serikali nzima ya Tanzania inaonekana machoni mwa jumuia ya kimataifa kuwa mshirika mkuu katika wizi huo.
Hapo kwenye Red Haitawezekana sababu aliyekuwa Waziri mhusika pindi zile kwa sasa yupo juu ya sheria.. Sahau kabisa kumsikia Membe akizungumzia hayo kibarua kitaota mbawa!

Nchi Inajiongoza Yenyewe hata Waingereza washastukia Wananchi Wanajua na Dunia Nzima Inajua!
 
Jamani hii hela siyo refund, siyo compensation, siyo restitution wala siyo reparation. Siyo HAKI yetu kuipata. BAE walipokubali makosa hawakukubali makosa ya kuturusha au ufisadi au rushwa! Walikubali makosa ya kihasibu tu yanahusiana na utunzaji wa kumbukumbu. Na hata makubaliano ya kutoa fedha hayakutolewa na mahakamani makubaliano tu kati ya BAE na SFO. Hivyo fedha hizo kweli kabisa zinatoka katika wema wa BAE ili wasichunguzwe zaidi. Tanzania kama inataka fedha "zake" iwashtaki wahusika, itaifishe mali za Vithlani na kupiga marufu makampuni yake kufanya kazi tena. Wauze ofisi zake n.k

Inashangaa mtu kakimbia tunashindwa kumshtaki in absentia?
Mkuu wa kaya nae alikuwa ni mmoja wao wanaogopa asije mwaga mboga
 
quote_icon.png
By Edson
Hansard 30 January 2007
Sale of Radar System (Tanzania) [30 Jan 2007]
30 Jan 2007 : I made the decision to cut back our promised a
id by £10 million and went to see
President Mkapa—a man I greatly respect and who did a good job by his country. He
told me that the contract had been signed
before he came to office, a deposit had been
paid and there was a penalty clause if Tanzania did not go ahead.



ina maana hii kitu ni dhambi ya mwinyi pia au hapo kwenye bold sijaelewa
namba ufafanuzi kabla sijapiga mishale kwa kukurupuka
mimi siku zote najua ili kitu katuletea chinga hapa naona kama napata nuru mpya vile
nani alikuwa jeshi na wamasiliano wakati huo wa mwinyi?
 
Kweli Job Ndugai ni mwanadiplomasia saana, ha, ha, haaa, Hebu bonyeza hapa !

[video]http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2011/06/110624_tz_rada_uingereza.shtml[/video]

mwanadiplomasia my foot !

Job, anacheza ngoma asiyo ijua, majibu mengi aliyotoa anadai hajui! Amekwenda kufanya nini kama hajui?

Eti wote waliohusika wanaapaswa kuona aibu, hasemi wanapaswa kuwajibishwa kwa kushtakiwa? Unafiki tu! The culture of impunity

Job anadai SFO imewaakwamisha katika juhudi za kuwashtaki mafisadi wa TZ! Uongo mtupu! Kwanini wasiwapeleke hata hao SFO kwenye mahakama ya kimataifa walazimishwe kutoa ushahidi? Job anajua wakifanya hivyo ukweli utajulikana na wakuu wakwe watafikishwa mahakamni Chenge, Idris na wengineo... The culture of impunity! Job is a traitor!

Job anadai ni "Hii biashara ya kimataifa", mbona sisi na Tanesco yetu tulipelekwa mhakama ya kimataifa na Dowans? Lipi limewashinda kupeleka mahakama ya kimataifa BAE? The culture of impunity!

Job anadai SFO walifunika ushahidi ndio maana wameshindwa kuwashtaki BAe au Mafisadi wa Tanzania, unafiki pelekeni kesi mahakama za kimataifa SFO na BAE watalizimishwa kushirikiana nanyi kutoa ushahidi! This is cheap excuse for the culture of impunity and corruption!

Job anatudanganya sisi sote, Ina maana kweli serikali ina nia ya kufanya uchunguzi, ina maana Job hajui Takukuru ilishawasafisha watuhumia na kuwapa hata clean certificate kugombea uspika! Je imeshafanya juhudi zozote kumpata middle-man wa rushwa? Au akipatikna ukweli utajulikna?

Job anawakilisha serikali lakini hajui hata ni akina nani wlihojiwa? Kukingiana kifua unafiki tu! Job anasema, oh kesi hajiaisha, oh mara hata haijanza, oh eti kama kuna ushahidi mafisadi watashtakiwa.. hii yote indhihirisha nia ya serikali kuwaficha mafisdi wa radar!

Job anadai fedha za fidia ambazo yeye anadai kimakosa ni zile zilizoibiwa zikirudishwa zitajenga nyumba za walimu, kununua madawati, vitabu nk> Vipi je zile dola milion aka vijisent zingerudishwa si zingeongezea nia hiyo njema ya serikali? Unafiki mtupu, fedha hizi zikirudi mikononi mwao ndio safari zitongezeka!

Ndugu zangu watanzania a tunafanya kazi bure kupambana na rushwa kama kwanza hatutapambana na utamaduni wa kuwakingia kifua na kuwatukuza mafisadi na kutowaadhibu.

If we do not stop the culture of impunity the fight against curruption is chasing wind! As good as useless!

Job Ndugai anadhani anajijenga kisiasa lakini hii ni mmoja ya hasara kwa mtaji wake wa kisiasa!
 
Bila kinyongo na bila kungoja ushawishi wa mtu nimetuma email ya kusapoti huu mkakati. Kama serikali inataka kumalizia ukata wake kwenye hili dili la rada basi ni miscalculation.

Atakayethubutu kuwapa hizo pesa basi ategemee kuingia kwenye ngwe mpya ya SFO investigation.
 
Watanzania wezangu, mtu yoyote mwenye uwezo wa kuchambua mambo hawezi kukubali hata siku moja hii pesa irudi kwa serikali ya Tanzania. Ukweli ni kwamba serikali ya Tanzania haikutegemea kurudishiwa hii pesa, na niserikali hiyohiyo ambayo ilisema kwamba ni bora tukala majani lakini lazima tutununue radar. Leo hii tumesahau? Jee kwa nini tusile majani leo tukatatua swala la umeme? Serikali ya Jakaya haina mpango wowote wa matumizi wa hii pesa, haina lengo lolote na hii pesa zaidi ya kutaka kuifuja.

Timu yote ya wabunge walioenda UK wamejidhalilisha na wametudhalilisha Watanzania wote, ukweli ni kwamba natamani kuwatukana wote waliokwenda. Kama kweli wao wana balls za kushawishi BAE walipe pesa kwa nini wasishauri Vilan na Mkapa wafikishwe mahakamani? Kwa nini wasimbane Chenge arudishe pesa? Serikali zote kuu duniani ambazo zinatudhamini zilipinga hili swala la radar, Mkapa akadai kwamba Tanzania ni independent country na inafanya maamuzi yake yenyewe na hii issue ni key kwa national security. Wengi wetu tulibisha tukasema kwamba we do not believe kwamba Tanzania inaitaji radar ya aina ile kwa muda ule.

Leo hii wanataka pesa irudishwe wakati hawana hata Plan moja ya jinsi ya how hiyo pesa itawanufaisha Watanzania? Wamekuja na idea kwamba pesa hiyo itasaidia ujenzi wa shule na office za walimu, serious? Ile timu ilioenda UK imesafiri kwa BA First Class, wamelala kwenye executive hotel, na wanakula POSHO, hakuna cha maana walichopeleka pale hiyo pesa ingelipa walimu wangapi? ingenunua vitabu vingapi?. Chenge na wenzake wanasema pesa itakwenda kwenye Elimu cha ajabu hawana hata plan ya ni kwa jinsi gani itawafikia walengwa. They're using umasikini wetu kwa political and economical gain yao.

Naandika hapa kwa uchungu mkubwa kwamba hii pesa ikirudi italiwa na wale wale walioenda kuidai ambao wanajiita bipartisan group. It's a double deep strategy ndugu zanguni, wamekula yakwanza iliyoenda UK watakula yapili inayorudi Tanzania. Wamedhamili kutua masikini ndugu zanguni, hawa watu hawana huruma wala hutu. Ndugu yangu Mtanzania we fought the good fight to this battle kuanzia mwanzo. We can not quit now, we can not quit tomorrow or the day after, we need to continue fighting this uphill battle. Tuma email as many times as possible, someone somewhere will read it.

Mungu ibariki Tanzania.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Please, while the letter was also sent to SFO we forgot to put their contacts; please do the needful (In the original post)
 
Naandika hapa kwa uchungu mkubwa kwamba hii pesa ikirudi italiwa na wale wale walioenda kuidai ambao wanajiita bipartisan group. It's a double deep strategy ndugu zanguni, wamekula yakwanza iliyoenda UK watakula yapili inayorudi Tanzania. Wamedhamili kutua masikini ndugu zanguni, hawa watu hawana huruma wala hutu. Ndugu yangu Mtanzania we fought the good fight to battle this kuanzia mwanzo. We can not quit now, we can not quit tomorrow or the day after, we need to continue fighting this uphill battle. Tuma email as many times as possible, someone somewhere will read it.

Mungu ibariki Tanzania.

you know these people sometimes they act as if they live in a parallel universe - kwenye issue ya malipo ya Dowans wakaanza "tuwalipe" walipoona wimbi limegeuka na wao wakageuka... kwenye hili sijaelewa kabisa kwanini wametumia nguvu kubwa hivi? Hawakutumia nguvu hii kudai ujenzi wa barabara kwenye Mbuga ya serengeti? Hawakutumia nguvu hiyo kubwa kwenye EPA...fedha nyingine nyingi zaidi kuliko hizi hazijatumiwa ujumbe wa Bunge... why hili?
 
you know these people sometimes they act as if they live in a parallel universe - kwenye issue ya malipo ya Dowans wakaanza "tuwalipe" walipoona wimbi limegeuka na wao wakageuka... kwenye hili sijaelewa kabisa kwanini wametumia nguvu kubwa hivi? Hawakutumia nguvu hii kudai ujenzi wa barabara kwenye Mbuga ya serengeti? Hawakutumia nguvu hiyo kubwa kwenye EPA...fedha nyingine nyingi zaidi kuliko hizi hazijatumiwa ujumbe wa Bunge... why hili?

This is just a symbol tuu Mwanakijiji, this people are playing politics. Soon or later tutajua kwamba nani kahaidiwa kiasi gani kwenye hii pacage. Believe it or not MM wakipewa hii pesa wataila tena my friend. This are the same people ambao wameshindwa kufunga wezi wa EPA ambao wote tunawajua, this team fail kushinikiza serikali kuhusu Meremeta, hawa hawa wameshindwa kumshinikiza chenge arudishe pesa zetu. Please this people wako on the same side of wezi. We just drop on shoe, sooner or later we're going drop the other one.
 
Back
Top Bottom