donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,123
- 21,872
Kqribu mkuuYam yam yam
Hahah karibu mkuu hapa si unajua ndio makao makuu ya udambwiMimi hiyo mishikaki tu na sambusa,uwiiiiiii!
Zee la misosi,sikuwezi aiseeeeHahah karibu mkuu hapa si unajua ndio makao makuu ya udambwi
Hahah mkuu nitakualika one day home yaan hadi mapazia yangu yana picha za misosiZee la misosi,sikuwezi aiseeee
Sasa usiombe Bi Faiza akupikie sambusa.Mimi hiyo mishikaki tu na sambusa,uwiiiiiii!
Upo, daah mkuu Kweli upo anti_clockwise yaan mahindi tu ndio umeyaelewa hapo??Kuna urojo na zanzibar pizza?
Nakuona mzee wa misosi. Mi hapo mahindi tu hayo.....nimeyamiss hatari
Ya kuventeMadiko Diko
Hahahaaaa kheyr mkuuHahah mkuu nitakualika one day home yaan hadi mapazia yangu yana picha za misosi
Khaaaaaa jamani!Sasa usiombe Bi Faiza akupikie sambusa.