Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,319
Kwa hiyo nyie kutukera ndio "lame excuse"? Ina maana nyie huwa hamtukeri?What a lame excuse.
Kwa hiyo nyie kutukera ndio "lame excuse"? Ina maana nyie huwa hamtukeri?What a lame excuse.
Upo sahihi, bora kuachana tuHakuna kosa lolote kwenye ndoa linahitajika kusolviwa kwa kutumia nguvu.
Kuachana ni suluhu sahihi kwa sababu mapenzi huwa hayalazimishwiKama mmeshindwa kukaa chini kuyamaliza matatizo yenu kiutu uzima, sio lazima kuendelea kuwa pamoja. Hao wanaochinjwa ama kukatwa viungo haianzagi siku moja. Inaanzaga na kibao, kesho ngumi mwishowe mapanga na kufa.
Ndio Maana nimekwambia Kama mmeshindwana kumaliza shida zenu kiutu uzima Kuna option ya divorce Kila mmoja shike njia yake.Kwa hiyo nyie kutukera ndio "lame excuse"? Ina maana nyie huwa hamtukeri?
This is Africa, and that's how we handle our own (romantic) affairs.Ndio Maana nimekwambia Kama mmeshindwana kumaliza shida zenu kiutu uzima Kuna option ya divorce Kila mmoja shike njia yake.
Mwanaume/mwanamke mwenye hekima huepuka kitu kinamchomletea hasira na kusababisha physical violence. So Kama mtu anaongea Sana na unaona anakuletea hasira za kumpiga just leave the place, Rudi muongee Kila mtu akiwa kacool down.
Kwa wenzetu huko kibao tu unatiwa ndani hakuna excuse ya kumpiga mtu
Mkuu kero za mwanamke wewe zinakudhuru nini kwenye mwili wako? Na je wewe ukimkera mwanamke unataka afanyaje?Kwa hiyo nyie kutukera ndio "lame excuse"? Ina maana nyie huwa hamtukeri?
How sad, This coming from a 21st century Man.This is Africa, and that's how we handle our own (romantic) affairs.
Bila mwanaume kuwa mkali hakuna familia imara.
Kero za mwanamke (kama vile kuongea na mimi kwa ukali) kunaashiria kuwa ni dalili za dharau kubwa sana kwa maana mimi ndio baba wa familia.Mkuu kero za mwanamke wewe zinakudhuru nini kwenye mwili wako?
Mimi nikimkera mwanamke anapswa kulia machozi alafu sasa ndio ninaanza kumbembeleza "basi mke wangu nisamehe sweetheart sirudii tena mama watoto wangu" alafu ninam-busu busu kisha tunavuta shuka tuna lala.Na je wewe ukimkera mwanamke unataka afanyaje?
Mwanamke yeyote anayependa kumpanda mwanaume kichwani hawezi kuelewa hiyo justification/statement yangu.How sad, This coming from a 21st century Man.
Hakunaga kitu Kama kumpanda mtu kichwani kwa two grown ups. You sit down and reason Kama wanandoa what's right and wrong ili Mambo yaende sawa.Mwanamke yeyote anayependa kumpanda mwanaume kichwani hawezi kuelewa hiyo justification/statement yangu.
Mke wangu anaweza kunishauri ila mimi ndio muamuzi wa mwishoMkuu inaonekana Wewe ndo wale unataka neno Lako liwe sheria. Mkeo Hana sauti hata ya kukushauri
Maamuzi ya pamoja hakuna hapa duniani mkuu. Kuna watanzania zaidi ya milioni 50 lakini maamuzi yanafanywa na wabunge ambao hawazidi 300 tu.Mkeo Hana sauti hata ya kukushauri kwenye Mambo ya familia na kufanya maamuzi kwa pamoja.
Kukaa chini na kuzungumza (Diplomacy) ni jambo jema sana katika familia, ila diplomasia isipozaa matunda ni lazima hatua za kijeshi zichukuliwe mkuuHakunaga kitu Kama kumpanda mtu kichwani kwa two grown ups. You sit down and reason Kama wanandoa what's right and wrong ili Mambo yaende sawa.
Duh noma sanaKawaida sana mdogo wangu
Mimi umri huo sijawaza kuzaa acha tu wanyamyasweKawaida mwingine kule mbeya anawatoto watatu anamiaka 21