Kwanza aache kupiga puli....Pili ale vitu ambavyo vitasaidia kuwa na mihemko atakapokuwa na wapenzi wake...Mfano Karanga Mbichi, Korosho, Vinywaji vinavyoleta mihemko, Mayai na yai asikaange hadi likakauka liwe kidoogo na ule ute....Achanganye pia yai bichi na maziwa anywe...nk..Ale vyakula vinono nono vya kupika nyumbani...