Amwagi kabisa

Ukichunguza hawa wengi chimbuko lao wengi watakuwa wamekulia bongo.............Vizuri wasema vizuli..nk..
Na walimu wenyewe wengi wakileo wanakosea viswahili watoto watajifunza kiswahili vipi




Hivi njyie watoto mna matatizo gani na kiswahili?
Amwagi-Hamwagi
Aya-Haya
Ebu-Hebu
Akuna-Hakuna
Aji-Haji

Mna matatizo gani nyie?

Halafu ukitazama wenye haya matatizo ni wale wa kuanzia miaka 13-25,mmeumbwaje nyie?
 
Ndio faida ya JF na MMU hiyo...Yote haya tusingeyafahamu...Ngoja ntamfanyia wangu nione kama zitaongezeka...Nataka ziloweshe kitanda...



He ....

Kumbe korodani zinafanyiwa masaji!
 
ungetaja sasa vinnywaji vyenye mihemko ni vipi ili avijue, asije akaenda kufakamia konyagi....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…