mkuu kweli nimefikiria mbali sana hii nchi inawatu wa ajabu sana
melo aliliona hilo way back 2006 alipoamua kanzisha mtandao huu na kama sio melo usingecheka leo ...
mkuu tumbo salama lakini
Habareee!
Jamaa yangu amekuwa na msiba mzito sana maishani mwake
Truly ameniomba ushauri juu ya tatizo lake kuwa hajawahi kumwaga manii au mbegu au shahawa toka aanze kufanya mapenzi na mabinti,kwa sasa anadai amefanya mapenzi na mabinti 6 ili kujaribu kuling'amua tatizo lakin hali ni ileile
NILICHOMSHAURI
Aache mchezo wa masterbeshen na amekiri kuwa anafanya mchezo huo
Wanajf jaribuni kunipa majibu zaid ili nimwokoe ndugu yangu huyu
Actually ana miaka 26
Kumbe unaweza kujfanyia vasectomy kwa kupiga punyeto?
kama hamwagi basi amwagiwe
usiseme rafiki yako sema ww mwenyewe
mkuu ni muheshimiwa kilax
Fafanua zaid ndg
pole nenda hospitali....
Haya mh. Kilaza
mzima lakini mama dinazarde
akowa tayari anataka kumwaga wambie abadili style aweke mbuzi kagoma tatizo litaisha tu tena mapemaaaaaaaaHabareee!
Jamaa yangu amekuwa na msiba mzito sana maishani mwake
Truly ameniomba ushauri juu ya tatizo lake kuwa hajawahi kumwaga manii au mbegu au shahawa toka aanze kufanya mapenzi na mabinti,kwa sasa anadai amefanya mapenzi na mabinti 6 ili kujaribu kuling'amua tatizo lakin hali ni ileile
NILICHOMSHAURI
Aache mchezo wa masterbeshen na amekiri kuwa anafanya mchezo huo
Wanajf jaribuni kunipa majibu zaid ili nimwokoe ndugu yangu huyu
Actually ana miaka 26
Ni muhimu kumsaidia mwanaJF ila na sie tusijisahau: timu bamia; nilishaitwa ki bamia hapa (mind you bila exhibit) so nifanyaje nijiunge ktk timu yako? Je kuna classification hapo? :A S wink:usiseme rafiki yako sema ww mwenyewe