Amtimua mwanae nyumbani kwa kushabikia CHADEMA

Amtimua mwanae nyumbani kwa kushabikia CHADEMA

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,268
Unaweza ukadhani hii ni utani hivyo ingeenda jukwaa la utani lakini nimeileta hapa kwa makusudi ili tuweze kumsaidia kijana ambaye amefukuzwa kwao na baba yake mzazi kisa amekuwa mfuasi wa CHADEMA na sasa anatanga na njia na jitihada zinaendelea kumshawishi baba amrudishe mwanae nyumbani.

Hii imetokea maeneo ya Mwananyamala kwa Msisiri Dar es Salaam na baba huyo ni kada na mjumbe wa nyumba kumi kwa tiketi ya CCM.
 
Mwacheni huyu mzee na Mungu aendelee kumpa maisha marefu baadae ataelewa tu kwa nini mwanae anataka mabadiliko
 
Yaani wazee wote wangekuwa kama huyo mzee hii nchi ingenyooka mara moja.

Bavicha wengi 85% ni kula kulala, ndo maana any time wapo available and ready kuleta vurugu. Unaleta ujuaji hapa, tafuta kwako.

Bravo mzee

uhahahahaaa..jamani loh
 
Hakupaswa kugombana nae amkubalie km mzee ndio hivyo mtakutana siku ya box la kura sianaingia pekee yake hapo ndio upenzi unapaswa u onekana si kelele za mtaani anamchinjia baharini tu
 
Mwananyamala kwa msisiri sindio kilikua kijiwe cha le profeseri kabla hajawa mwamba?
 
Yaani wazee wote wangekuwa kama huyo mzee hii nchi ingenyooka mara moja.

Bavicha wengi 85% ni kula kulala, ndo maana any time wapo available and ready kuleta vurugu. Unaleta ujuaji hapa, tafuta kwako.

Bravo mzee
Povu uu linakutokaaaa tuuu naona
 
Yaani wazee wote wangekuwa kama huyo mzee hii nchi ingenyooka mara moja.

Bavicha wengi 85% ni kula kulala, ndo maana any time wapo available and ready kuleta vurugu. Unaleta ujuaji hapa, tafuta kwako.

Bravo mzee

We mshabikie mzee wa watu siku akianza kutembea na magongo ndiyo atajua dhamani ya mwanae. Chama inampatia nini au noi sehemu ya Ufisadi. Mimi kama kijana namfikisha mbele ya Pilato ilituheshimiane

Wazee wengine sijui wakoje?
Ebu pima ya Ben kama amediriki mbele ya kadamnasi kusema malofa na wapumbavu mwanae nyumbani inakuwaje?
 
Sasa kama wazee wasomi kama Ben anatoa matusi na ameshindwa kulinda heshima yake,kama rais aliyejitahidi kidogo.Huyu balozi si ndiyo atakuwa ........... zaidi ya wasomi! Maana anategemea hongo ya diwani.
 
we chizi maarifa,kama ulimuona akitanga mbona hukumhoji na kuleta clip na picha,unasokomezewa halafu unakuja kinapenape
 
Inasemekana kule Zenji siyo jambo la ajabu kwa mzazi kumkana kabisa mwanaye anayeamua kujiunga na upinzani.
 
Yaani wazee wote wangekuwa kama huyo mzee hii nchi ingenyooka mara moja.

Bavicha wengi 85% ni kula kulala, ndo maana any time wapo available and ready kuleta vurugu. Unaleta ujuaji hapa, tafuta kwako.

Bravo mzee

Acha kupiga kelele mbwa koko wa ccm wewe njoo huku haraka Kebby Hotel mama yako analiwa tiGO na bichwa a.k.a pumbavu na lofa mkubwa.
 
Weka akiba ya maneno
yaani wazee wote wangekuwa kama huyo mzee hii nchi ingenyooka mara moja.

Bavicha wengi 85% ni kula kulala, ndo maana any time wapo available and ready kuleta vurugu. Unaleta ujuaji hapa, tafuta kwako.

Bravo mzee
 
Back
Top Bottom