mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Huyu beberu hana lolote zaidi ya ya kuzengea pesa kibao ambazo mashirika ya kimataifa yatatoa kama msaada kugharimia kesi hii. Hapo beberu keshanusa tayari kuwa mpunga uko njiani!!
😆😆😆 Umenikumbusha mbali. Tanganyika Library walihifadhi magazeti hata ya miaka 10 iliyopita.Hahahaaaa....... Wakati wa kesi ya uhaini 1983 tulikuwa tunafuatilia kwa kusoma gazeti la Daily News pale Tanganyika Library bwashee!
Kweli kabisa ni mtu fyatu tu anaweza kumsema vibaya marehemu Kama Lissu.Marehemu ni nadra kusemwa vibaya
Huwezi kuelewa !Acha nikufafanulie wewe ni miongoni mwa mawakala wa shetani ,halafu unajidai kujificha Kwenye neno la Mungu.
'Mimi na Magufuli ni wamoja'Mwenyekiti CHADEMA, Mhe. Freeman Mbowe, amepata mawakili wapya kumwakilisha katika kesi inayomkabili ya uhujumu uchumi na ugaidi. Mbowe alikamatwa mwezi Julai mjini Mwanza na sasa atawakilishwa na wakili wa kimataifa Robert Amsterdam akishirikiana na mawakili wengine
Freeman Mbowe, a Tanzanian opposition politician and chairman of the Chadema party who was arrested in nighttime police raid this past July, will be represented by international lawyer Robert Amsterdam, founding partner of Amsterdam & Partners LLP, in coordination with local defense counsel.
The arrest of Mbowe and several others took place at approximately 2:30AM in a hotel in the northwestern port city of Mwanza the night before the Chadema chairman was going to host a public forum on constitutional reform, according to media reports. Mbowe was held in an undisclosed location beyond the reach of counsel for weeks and allegedly subjected to torture, before appearing in court for the first time on Friday, August 6, on trumped up charges of terrorism finance, says Amsterdam.
“We condemn the brazenly criminal conduct of the regime of President Samia Suluhu Hassan with these politically motivated charges against Mbowe,” says Amsterdam. “As we’ve already seen a judge recusal and direct comments by the President interfering in the case and tainting prospects of fair trial, it is abundantly clear to the international community that this is an authoritarian farce, not a judicial process.”
Amsterdam says that his firm will work closely with Mbowe’s local defense counsel, Mr Peter Kibatala and Mr. John Mallya, Esquire, to issue filings before a variety of international bodies. “We will ensure there are consequences for the Hassan regime for this egregious violation of Tanzania’s international commitments, while seeking accountability to all public servants who make themselves complicit in the government’s unlawful conduct,” says Amsterdam.
Amsterdam & Partners LLP also represents Tundu Lissu, the vice chairman of Chadema who competed in the 2020 presidential elections, among other opposition figures in the region such as Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) in Uganda. Amsterdam & Partners LLP is based in London and Washington DC. More information is available at Amsterdam & Partners LLP – International Law Firm | London | Washington DC.
Huyu wakili ana connections sio za kitoto na atasababisha hii case iende viral internationally.Mwenyekiti CHADEMA, Mhe. Freeman Mbowe, amepata mawakili wapya kumwakilisha katika kesi inayomkabili ya uhujumu uchumi na ugaidi. Mbowe alikamatwa mwezi Julai mjini Mwanza na sasa atawakilishwa na wakili wa kimataifa Robert Amsterdam akishirikiana na mawakili wengine
Freeman Mbowe, a Tanzanian opposition politician and chairman of the Chadema party who was arrested in nighttime police raid this past July, will be represented by international lawyer Robert Amsterdam, founding partner of Amsterdam & Partners LLP, in coordination with local defense counsel.
The arrest of Mbowe and several others took place at approximately 2:30AM in a hotel in the northwestern port city of Mwanza the night before the Chadema chairman was going to host a public forum on constitutional reform, according to media reports. Mbowe was held in an undisclosed location beyond the reach of counsel for weeks and allegedly subjected to torture, before appearing in court for the first time on Friday, August 6, on trumped up charges of terrorism finance, says Amsterdam.
“We condemn the brazenly criminal conduct of the regime of President Samia Suluhu Hassan with these politically motivated charges against Mbowe,” says Amsterdam. “As we’ve already seen a judge recusal and direct comments by the President interfering in the case and tainting prospects of fair trial, it is abundantly clear to the international community that this is an authoritarian farce, not a judicial process.”
Amsterdam says that his firm will work closely with Mbowe’s local defense counsel, Mr Peter Kibatala and Mr. John Mallya, Esquire, to issue filings before a variety of international bodies. “We will ensure there are consequences for the Hassan regime for this egregious violation of Tanzania’s international commitments, while seeking accountability to all public servants who make themselves complicit in the government’s unlawful conduct,” says Amsterdam.
Amsterdam & Partners LLP also represents Tundu Lissu, the vice chairman of Chadema who competed in the 2020 presidential elections, among other opposition figures in the region such as Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) in Uganda. Amsterdam & Partners LLP is based in London and Washington DC. More information is available at Amsterdam & Partners LLP – International Law Firm | London | Washington DC.
Huyu wakili ana connections sio za kitoto na atasababisha hii case iende viral internationally.
Matokeo ni kuaibika kwa serikali,hiyo branding anayofanya Rais itakuwa kazi bure.
Ndio maana mama anahangaika kuonana na Biden na nasikia jamaa anachomoa maana serikali inanuka udharimu.
Mandela wa TZ muoga sana wa jela!! Ana mawakili 32, lakini bado anaongeza na wazungu, muda si mrefu ataongeza wachina na wahindi!! And akiwa majukwaani anawahutubia nyumbu wake ambao wamejaa humu wengi huwa anasema yeye haogopi jela wala chochote, na nyumbu wake huwa wanamwamini, na bado wanamwamini hadi sasa pamoja na kutapatapa kote huku hadi kujiwekea mawakili zaidi ya 40 sasa! Mandela wa kweli mbona hakutapatapa hivi?
Huyu ni mjinga mwingine hapa duniani.Wakati wa uchaguzi uliopita alibwabwaja sana na matokeo hayakuonekana.Ni mpuuzi kama wale wengine tu.Mwenyekiti CHADEMA, Mhe. Freeman Mbowe, amepata mawakili wapya kumwakilisha katika kesi inayomkabili ya uhujumu uchumi na ugaidi. Mbowe alikamatwa mwezi Julai mjini Mwanza na sasa atawakilishwa na wakili wa kimataifa Robert Amsterdam akishirikiana na mawakili wengine
Freeman Mbowe, a Tanzanian opposition politician and chairman of the Chadema party who was arrested in nighttime police raid this past July, will be represented by international lawyer Robert Amsterdam, founding partner of Amsterdam & Partners LLP, in coordination with local defense counsel.
The arrest of Mbowe and several others took place at approximately 2:30AM in a hotel in the northwestern port city of Mwanza the night before the Chadema chairman was going to host a public forum on constitutional reform, according to media reports. Mbowe was held in an undisclosed location beyond the reach of counsel for weeks and allegedly subjected to torture, before appearing in court for the first time on Friday, August 6, on trumped up charges of terrorism finance, says Amsterdam.
“We condemn the brazenly criminal conduct of the regime of President Samia Suluhu Hassan with these politically motivated charges against Mbowe,” says Amsterdam. “As we’ve already seen a judge recusal and direct comments by the President interfering in the case and tainting prospects of fair trial, it is abundantly clear to the international community that this is an authoritarian farce, not a judicial process.”
Amsterdam says that his firm will work closely with Mbowe’s local defense counsel, Mr Peter Kibatala and Mr. John Mallya, Esquire, to issue filings before a variety of international bodies. “We will ensure there are consequences for the Hassan regime for this egregious violation of Tanzania’s international commitments, while seeking accountability to all public servants who make themselves complicit in the government’s unlawful conduct,” says Amsterdam.
Amsterdam & Partners LLP also represents Tundu Lissu, the vice chairman of Chadema who competed in the 2020 presidential elections, among other opposition figures in the region such as Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) in Uganda. Amsterdam & Partners LLP is based in London and Washington DC. More information is available at Amsterdam & Partners LLP – International Law Firm | London | Washington DC.
Bibi yako mdee si alipewa ubunge ule ule waakina polepple?Huyu akifika atuambie kwanza ile kesi ya di hegi imeishia wapi?? Sio awe wa kuwaongopea ndugu zetu tuu kila mwaka
Kile kile alichoishia mwenyekiti wetu mkuu... I mean form 4.