uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
Hao ndo waliomdanganya Lissu.Humu mitandaoni mtu mmoja anaweza kupiga kelele utadhani watu 1000! Halafu hapigi kura.
Hao ndo waliomdanganya Lissu.Humu mitandaoni mtu mmoja anaweza kupiga kelele utadhani watu 1000! Halafu hapigi kura.
Mlipokuwa mnajisifu kufanya siasa za matusi mlijiona wajanja sio? Kila mjanja ana mjanja wake ndo imetoka hiyo.Mnajisifu kufanya uharamia!!!
Lissu kapigwa kiuhalali kabisa ndo mana hawez pata suuport ya maandamano, vituo vingine kapata 0, nachojua CCM wamechakachua baadh ya majimbo Kwa ajil ya ubunge lakn uraisi hata wakirudia leo Lissu anagaragazwa Tu bado yaan kapigwa hasa.Naona watu wamemgomea brother kuandamana.
Mtaji wa mwanasiasa yoyote ni watu kitu ambacho Tundu hana. Angekua nao sasa hivi tungekua tunatuma maombi ya kuombea nchi
Anzeni upya kwa kutengeneza misingi mizuri kutoka chini sio unaamua ndani ya miezi 3 uwe Rais na utegemee sapoti kubwa kutoka kwa watu ambao haukua nao ukitegemea watu wa mitandao wanaokupamba na hujui Kama wapo kweli
Kuandamana ni ngumu, internet ilifungwa. Hatuwezi kuandamana bila internet.Mkuu kwanini mnadharau sana Lissu? Kasema andamaneni, mbona hatuwaoni?
Walihamasika Sana tatizo chadema waliwaambia wafuasi wao wasusie zoezi la uboereshaji wa daftari la wapiga kura. Kwahiyo waliopiga kura wakawa CCM na chadema wachache tu.Naona wakurya hawakuhamasika Sana kupiga kura juzi ni kidogo nusu ya wapiga kura hawakupiga 😅
Huyu nadiye aliyesababisha TAL akaangukia pua.Wakili wa aliyekuwa mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, Robert Amsterdam ameiandikia barua jumuiya ya madola na kuiambia kuwa kuna ubadirifu mkubwa umefanyika katika uchaguzi wa Tanzania hivyo ameomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi huo.
Upinzani usio na misingi kwa wananchi sio upinzani ila matumizi mabaya ya demokrasia.Naona watu wamemgomea brother kuandamana.
Mtaji wa mwanasiasa yoyote ni watu kitu ambacho Tundu hana. Angekua nao sasa hivi tungekua tunatuma maombi ya kuombea nchi
Anzeni upya kwa kutengeneza misingi mizuri kutoka chini sio unaamua ndani ya miezi 3 uwe Rais na utegemee sapoti kubwa kutoka kwa watu ambao haukua nao ukitegemea watu wa mitandao wanaokupamba na hujui Kama wapo kweli
Kila kitu mtandao, hata kupiga kura mitandaoni, na màandamano yatafanyika mtandaoni hivi karibuni ru.Kuandamana ni ngumu, internet ilifungwa. Hatuwezi kuandamana bila internet.
Hata wakituvua uanachama na kutuzuia tusipate ruzuku tutapambana kivyetu.Nigeria iliwahi kuvuliwa uanachama kwa miska mitatu, ukivuliwa uwanachama hupati ile ruzuku ya maendeleo ya kila mwaka kutoka kwa nchi mama.
Unataka tuandamane wapi? Ss unavyotuona tunaweza kukubali kufinywa na kupigwa na ffu kisa kura?Kila kitu mtandao, hata kupiga kura mitandaoni, na màandamano yatafanyika mtandaoni hivi karibuni ru.
Leo yamekuwa kupambana kivyenu sio kuingia barabarani tenaHata wakituzuia tusipate ruzuku tutapambana kivyetu,
Heri Uhuru na njaa kuliko Utumwa na shibe.
Wafuasi wao watawachangia tu,kuhusu hilo wala usiwe na wasiwasi,jukumu lao litakuwa ni kutoa namba tu.😂😂😂Lisu kaisababishia hasara kubwa sana.
CHADEMA itakumbwa na ukata mkubwa maana hakuna ruzuku,
Yani mtifuano utakaotokea hapo chadema si wa kitoto
Internet imebakwa mama we we, mnajiorganize vipi?Naona watu wamemgomea brother kuandamana.
Mtaji wa mwanasiasa yoyote ni watu kitu ambacho Tundu hana. Angekua nao sasa hivi tungekua tunatuma maombi ya kuombea nchi
Anzeni upya kwa kutengeneza misingi mizuri kutoka chini sio unaamua ndani ya miezi 3 uwe Rais na utegemee sapoti kubwa kutoka kwa watu ambao haukua nao ukitegemea watu wa mitandao wanaokupamba na hujui Kama wapo kweli
wataanza vipi wakati. shughuli za kisiasa zinaenda kupigwa marufuku. Umesahau hapa kazi tu!..........
Anzeni upya kwa kutengeneza misingi mizuri kutoka chini sio unaamua ndani ya miezi 3 uwe Rais na utegemee sapoti kubwa kutoka kwa watu ambao haukua nao ukitegemea watu wa mitandao wanaokupamba na hujui Kama wapo kweli
Fanyeni hamasa ya nyumba kwa nyumba.Internet imebakwa mama we we,mnajiorganize vipi?