Uchaguzi 2020 Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Naona watu wamemgomea brother kuandamana.
Mtaji wa mwanasiasa yoyote ni watu kitu ambacho tundu hana. Angekua nao sasa hivi tungekua tunatuma maombi ya kuombea nchi🤔
Anzeni upya kwa kutengeneza misingi mizuri kutoka chini sio unaamua ndani ya miezi 3 uwe Rais na utegemee sapoti kubwa kutoka kwa watu ambao haukua nao ukitegemea watu wa mitandao wanaokupamba na hujui Kama wapo kweli🥺🥺
Humu mitandaoni mtu mmoja anaweza kupiga kelele utadhani watu 1000! Halafu hapigi kura.
 
Ni elimu au umbumbu? Hizi lugha jumuishi una uhakika gani ni sahihi?

Kumbuka ipo tofauti kubwa baina ya:

1. uCCM na uTanzania
2. uLb7 na uTanzania
3. uTaga na uTanzania
4. uWizi na uTanzania
5. uUwaji na uTanzania
6. Nk.

Tafadhali acha kuongelea na ambao hawajakutuma.
Hivi mnataka Lissu aongee kilugha gani ili mjue kama kataka mkaandamane?
 
Nigeia iliwahi kuvuliwa uwanachama kwa miska mitatu, ukivuliwa uwanachama hupati ile ruzuku ya maendeleo ya kila mwaka kutoka kwa nchi mama.
Hahhahahahaaaaa sky kama nakuona ulivyonuna siku mbili hizi mtaongea yote sasa hivi hamna chenu mkajipange upya na Amsterdam wenu anaye twanga maji kwenye kinu hao anaowashitakia wala hawana impact na nchi yetu.
 
Jumuiya ya Madola waliwahi kuja kusuluhisha mgogoro wa Zanzibar katika kile kilichojulikana kama Muafaka no 1. Walimleta Chief Ameka Anyauko kama mediator.

Kiukweli wanakuja kama wapatanishi tu hakuna enforcement yoyote kutoka kwao. Upande wowote katika pande zinazo zozana wakikataa usuluhishi wao(hasa upande wa waliopo madarakani) jamaa wanasepa zao.
 
Wakili wa aliyekuwa mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, Robert Amsterdam ameiandikia barua jumuiya ya madola na kuiambia kuwa kuna ubadirifu mkubwa umefanyika katika uchaguzi wa Tanzania hivyo ameomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi huo.

Robert Amsterdam
Ko aliwekaze biashara ikabuma
 
Jana China wameingia mkataba mpya wa kununua soya Tanzania, je una laana ingine imebaki!!?
Soya ipi?

Ungekuwa na ufahamu mdogo tu ungetambua usivyoelewa mambo.

Hiyo soya isiyojaa kibaba unamuuzia mchina, halafu unaagiza wakuletee samaki waliogandishwa, badala ya kuwafuga mwenyewe?

Hili nalo ni jambo la kujivunia?
 
Huyu nae hata hajisitukii kuona Watanzania wote wapo kimya Wala hawawashwi kama yeye na mtu wake.

Ukiona Hadi Wakurya wametulia baada ya kutangazwa matokeo ya kura zao Basi jua kabisa kilichofanyika ni maamuzi ya Wananchi.
Naona Wakurya hawakuhamasika sana kupiga kura juzi ni kidogo nusu ya wapiga kura hawakupiga
 
Wakili wa aliyekuwa mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, Robert Amsterdam ameiandikia barua jumuiya ya madola na kuiambia kuwa kuna ubadirifu mkubwa umefanyika katika uchaguzi wa Tanzania hivyo ameomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi huo.
#UchaguziTanzania: The 2020 Tanzanian general election process is better than the previous since multipartism was re-introduced in 1995 therefore someone with interests eyeing the country's natural resources affilliating with internal & external traitors to exploit shall not hold water.

Tanzania has never violated the international treaty/declaratiuons of any cycle. At this stage Tanzanians are now fully aware and realized as to who is the enemy in the country interests with the infiltrated traitors. We stand to protect Tanzania's sovereignty and sustain the core values for the best interests of the current and forthcoming generation.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom