Uchaguzi 2020 Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Who are you? Only Ass can say that.
Thirty eight bullets to the innocent guy, 16 of them getting him, taking away his benefits to be treated and purging him from the parliamnt, what is that then, is it fare?? You are sadists, barbaric, brutal, cruel and all sorts of it
 
Kwani wewe unafaidika nini kunitesa mimi na watu wengine kama kupokonya haki ya Lisu kuwa Rais?? Wewe unatumia majeshi ya akina Sirro IGP na JWTZ unafurahi, na kufaidika. Mimi nitafaidika kama watakutoa na kukufundisha adabu kwa sababu umenionea. You cannot reason how I will benefit? You are benefiting out of using IGP Siro and JWTZ; that is the same way I can benefit if I use those big guys. Stupid cant
Wewe ongea tu kwasababu keyboard unayo, ila ya Libya na Iraq tunayaona kila siku kwenye TV, they are still unstable countries. Sasa hayo maelezo yako ni maelezo tu lakini uhalisia kaangalie kwenye Tv hasara wanazopata izo nchi kwa kufata mawazo kama yako.
Sisi Hatudanganyiki, pole.
 
So what?,
Tutajuaje kama na wewe uko jikoni?matokeo yalishapikwa b4 uchaguzi,ndo maana mkasema jpm atamshinda lisu kwa zaidi ya kura 12,000,000. Na kweli jpm kapata hizo kura ,mlijuaje wakati uchaguzi ulikuwa bado kufanyika?.
Acha ujinga wewe. Mnavyosema atamshina lissu ina maana hakuna wengine walio shindwa.
Magu amewashinda wapinzani wote kwa idadi hiyo ya kura.
Acheni ubinafsi
 
Nigeria iliwahi kuvuliwa uanachama kwa miska mitatu, ukivuliwa uwanachama hupati ile ruzuku ya maendeleo ya kila mwaka kutoka kwa nchi mama.
Kwa hiyo nia yako ni kuvuliwa uanachama. Kama wewe ni mzalendo na unawapenda WaTZ kwa nini uwaingize wananchi kwenye matatizo kwa sababu ya mtu mmoja! Huo ndiyo uzalendo? Tuseme hypothetically, Magufuli hakuchaguliwa kihalali, wewe ukishtaki nchi na kuleta mateso kwa wananchi kutakusaidia nini? Lissu unajuwa hii ni mara yako ya mwisho kusimamishwa na CHADEMA kugombea urais, hii ina maana "you will never be TZ president" Next time Mbowe ndiyo muombaji. Wewe jitayarishe kurudi kwenye nchi yako ya kufikia Ubelgiji!
 
CCM brainwashed. Unaweza kuwa hata milo miwili Kwa siku huna. Tunawajua sana na mko wengi. Njie nia yenu sasa ni kubadirisha narrative ati kuwa Lisu ni mtumwa wa wazungu kumbe nyie ndiyo mlipiga risasi 16 akaenda kutibiwa na wazungu, maana hapa angekufa. Hakuna hospitali ya maana.

dawa za kuwapoza ukimwi mnapewa hadi hiyo miradi wanawapa pesa hao hao wenyewe. CCM ndiyo imetufikisha hapa. Dunia nzima inashangaa
 
Nigeria iliwahi kuvuliwa uanachama kwa miska mitatu, ukivuliwa uwanachama hupati ile ruzuku ya maendeleo ya kila mwaka kutoka kwa nchi mama.
Natanguliza samahani kama nitakukwaza, una elimu ya kiasi gani au Darasa la 7, Form IV, form VI. College diploma, University degree, masters au prof?
 
Nakusikitikia, wewe huna tofauti na mtu mzima mwendawazimu anayetembe uchi barabarani, wanatokea watu wamvishe nguo kuficha aibu yake ila yeye anawacheka na kuwauliza kama wana kichaa🙄

Umeamua kum bong'olea bobuamstadamu sasa mmeshindwa subirini tuu kuachika. Hapo ndio mtajua Bobu na wenzie hawawataki nyie ila wanataka kuwafilisi mali zenu kwa kuwashikilia akili zenu.

Watu kama wewe ndio wamesababisha hii nchi iitwe nchi maskini kwa miaka 60 ya uhuru. Sasa tumeamua sisi tunaojitambua tunaenda na John Pombe Magufuli
Nikutakie safari njema kwenda ubelgiji
Mnajitambua wapi zaidi ya ubinafsi?Uovu wote huu nyinyi kwenu sawa mradi tu mnafaidika na huu utawala.
 
  • Masikitiko
Reactions: Ole
oya wenye picha ya huyo amstedam nimuone hebu,maana
Huyo hapo wakili wa Tundu
download (1).jpeg
 
Naona watu wamemgomea brother kuandamana.
Mtaji wa mwanasiasa yoyote ni watu kitu ambacho Tundu hana. Angekua nao sasa hivi tungekua tunatuma maombi ya kuombea nchi

Anzeni upya kwa kutengeneza misingi mizuri kutoka chini sio unaamua ndani ya miezi 3 uwe Rais na utegemee sapoti kubwa kutoka kwa watu ambao haukua nao ukitegemea watu wa mitandao wanaokupamba na hujui Kama wapo kweli
Uko sahihi,tatizo marufuku ya kisiasa tangu 2015 na kupigwa risasi kwa TL kumezorotesha harakati hizi
 
Hakika kwa hali tuliyokuwa tumefikia heri kutokuwa na upinzani. Maana wapinzani unapinga hata jambo lenye manufaa kwa nchi, unapinga ujenzi wa barabara, ujenzi wa madaraja, SGR, hospitali.
Ni bora kutokuwa na wapinzani kuliko kuwa na wazandiki wakubwa.

Walitakiwa kukubali maendeleo yote na kusema wao watafanya vizuri zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom