Mimi raia wa Tz kutoka Arusha natoa amri kwa shirika la utangazaji la Taifa TBC kusitisha ratiba za kurusha vipindi vya kawaida na muanze mara moja kurusha yanayoendelea kwenye mafuriko Dar! Watu wanateseka, wanakufa! Rusheni moja kwa moja ili ulimwengu uone taabu zlizopo Tz kwa sasa ili wa kusaidia asaidie on time! Hatuna muda wa kuangalia vpindi vyenu vya ngonjera! STOOOP! Ova.