Amri kumi za Mafia

Amri kumi za Mafia

Luqman mohamedy

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
899
Reaction score
1,232
Mafia kama organization nyingine kubwa za kihalifu yenye maskani yake kubwa ulaya mashariki na duniani kote wana sheria/amri ambazo kila member lazima azifuate ili kuwa member kamili nazo ni;

TEN COMMANDMENT OF MAFIA

1.Hairuhiwi kujitambulisha/kuonana na mwenzio (mafia) moja kwa moja,lazima kuwe na mtu wa tatu kati yenu atakayefanya hivyo.

2.Ni marufuku kumtizama mke wa rafiki yako(Kwa matamanio).

3.Ni marufuku kuonwa na polisi.

4.Hauruhusiwi kwenda pub na club.

5.Kupatikana muda wowote kwaajili ya kazi ni wajibu wako,hata kama mkeo anataka kujifungua.

6.Makubaliano ya kukutana (Apointment) yanatakiwa yapewe heshima ya hali ya juu.

7.Mke ni lazima uishi nae kwa heshima.

8.Ukiulizwa kuhusu taarifa zozote na wakuu wako majibu yanabidi yawe ya kweli.

9.Pesa zinazomilikiwa na familia nyingine huruhusiwi kuzitumia.

10.Watu ambao hawawezi kujiunga na kundi ni;Mtu yeyote mwenye ndugu wa karibu ambae ni polisi,Mwenye ndugu asiyeeleweka anachofanya(two-timing person),Yeyote mwenye tabia mbaya na hawezi kujiheshimu.


Mi nimependa ya 6,7&2.
Wewe je?
Sheria ipi ingekushinda?
 
Mafia,Ndranghetta,Cosanostra zama zao zimeisha kwasasa Top heads wengi wako gerezani,wamekufa or on the run(fugitive). Vibaraka waliobakia wanaishia kuuana tu na ku-Snithch-iana.
No wonder wengi humu hawajui kitu kuhusu mafia.
Hakukua na sheria zilizoandikwa chini na inategemea wewe umechukua website gani iliyocompile hizi mambo.
Ni conducts tu zilizopelekea hizo mnazoziit sheria leo,but hakukua na sheria.
 
Mafia ndio nini mkuu. Wako wapi duniani
Mafia ni vikundi vya uhalifu "Organised Crime",ambavyo vina mikataba na katiba ya kujiunga katika hivyo vikundi,hivi vikundi vilianzinia Italia,...wakati wataliana wanahamia Marekani wakahamia na uhalifu wao..

Tafuta Movie inayoitwa "The Godfather" ya Marlon Brando,utafahamu vipi hivi vikundi vinafanya kazi,vipi vimeundwa nk..
 
Mafia,Ndranghetta,Cosanostra zama zao zimeisha kwasasa Top heads wengi wako gerezani,wamekufa or on the run(fugitive). Vibaraka waliobakia wanaishia kuuana tu na ku-Snithch-iana.
No wonder wengi humu hawajui kitu kuhusu mafia.
Hakukuana sheria zilizoandikwa chini na inategemea wewe umechukua website gani iliyocompile hizi mambo.
Ni conducts tu zilizopelekea hizo mnazoziit sheria leo,but hakukua na sheria.
Mkuu,Mafia na mikataba na katiba zao,ndio maana hivi vikundi vinaitwa "Organised Crime",moja katika mkataba wa kuwa Mafia ni omertà "code of silence",..yaani kwa chochote kwa vyovyote hata uko katika hali ya kupoteza Maisha huwezi kutoa siri ya kikundi chako,kama utatoa siri wewe,mama ako,baba ako,shangai,mbwa wako,paka,..nk wote watakuwa "eliminated",watapotezwa..
 
Mkuu,Mafia na mikataba na katiba zao,moja katika mkataba wa kuwa Mafia ni omertà "code of silence",yaani kwa chochote kwa vyovyote hata uko katika hali ya kupoteza Maisha huwezi kutoa siri ya kikundi chako,kama utatoa siri wewe,mama ako,baba ako,shangai,mbwa wako,paka,..nk wote watakuwa "eliminated",watapotezwa..
Nakuambiaje iyo ni pledge of alliance,na hio ni kwa american mafia from italy,au italian mafia in italy (naples,sicily etc)mimi ni fanatic wa organized crime from mafia to jewish and irish gangs, from al capone to john gotti. Katiba,mikataba ya kuandikwa hamna bali kuna codes of conduct,hizi tunaziona leo ni compilations za websites tu, the closest they come kupata hata kurasimisha,kuset rules ilikua "The botched Mafia Meeting in the Appalachians" in 1957.
 
Nakuambiaje iyo ni pledge of alliance,na hio ni kwa american mafia from italy,au italian mafia in italy (naples,sicily etc)mimi ni fanatic wa organized crime from mafia to jewish and irish gangs, from al capone to john gotti. Katiba,mikataba ya kuandikwa hamna bali kuna codes of conduct,hizi tunaziona leo ni compilations za websites tu, the closest they come kupata hata kurasimisha,kuset rules ilikua "The botched Mafia Meeting in the Appalachians" in 1957.
Wazee mpo vizuri sana
 
Cause I keep a couple shooters that will straight John Gotti your purpose
Nakuambiaje iyo ni pledge of alliance,na hio ni kwa american mafia from italy,au italian mafia in italy (naples,sicily etc)mimi ni fanatic wa organized crime from mafia to jewish and irish gangs, from al capone to john gotti. Katiba,mikataba ya kuandikwa hamna bali kuna codes of conduct,hizi tunaziona leo ni compilations za websites tu, the closest they come kupata hata kurasimisha,kuset rules ilikua "The botched Mafia Meeting in the Appalachians" in 1957.
John gotti. Mkuu nipe ABC's kidogo hapa
 
Nakuambiaje iyo ni pledge of alliance,na hio ni kwa american mafia from italy,au italian mafia in italy (naples,sicily etc)mimi ni fanatic wa organized crime from mafia to jewish and irish gangs, from al capone to john gotti. Katiba,mikataba ya kuandikwa hamna bali kuna codes of conduct,hizi tunaziona leo ni compilations za websites tu, the closest they come kupata hata kurasimisha,kuset rules ilikua "The botched Mafia Meeting in the Appalachians" in 1957.
Mkuu,kuna katiba na mikataba,kuna mchangio wa kila mwanachma kuchangia kiwango fulani cha pesa katika kikundi chake,malipo hayo yanatafautiana vipi mwanacama analipa kutoka kikundi na kikundi mwanachama atalipa vipi

Hivi vikundi vina muundo wa serikali kuna waziri wa vita,kuna wanajeshi,kuna Rais(Godfather),kuna wauwaji "assassination squad" nk,na ndio maana vinaitwa "Organize Crime",huwezi kutoka huko uliko toka ukaingia kwenye hivi vikundi,mtu anakuwa "recruited" na watu maalumu kwa mipango maalamu,sijui habari zako unazitoa wapi..
 
Back
Top Bottom