Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,551
- 9,524
Mwenye bahati habahatishi hata siku moja Viva Rais Magufuli
Sema miaka hii, sio mwaka huuMwaka huu Rais tumepata! Loh!
Kazi kaziMwaka huu Rais tumepata! Loh!
kaz kazNgosha.
ili iweje kwan gwaride linahitaji ukemia ukuuHili suala la kwenda kwa mkemia mkuu kufanya check up lingeanzia huku.
mkuu hebu acha uchochezi hapo kamba iko wapiJogoo wa shamba hakosi kamba mguuni
hapo alikua anakagua akaamua kuwaonyesha kama na yeye anawezaWasukuma bwana, gwaride na suit vilianza lini?
sana tena tulichelewa kumpataRais magufuli anafanya vizuri
teh teh tehhapo alikua anakagua akaamua kuwaonyesha kama na yeye anaweza
mkuu nimekosea nini kuweka picha ya mh Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa anakagua gwaride
Bangili zinasumbua watu sana hahahahHili suala la kwenda kwa mkemia mkuu kufanya check up lingeanzia huku.
Ohoooo!!!Hili suala la kwenda kwa mkemia mkuu kufanya check up lingeanzia huku.
Hapa tusimumunye maneno,,vipi yule wa monduli kweli angeweza hivyo?? Respect rais wangu..Hapa kazi tu
View attachment 472352
Saana mkuuKamanda mkuu jemedari wa vita mzee wa chato aka baba Jesca katika ubora wake
Hakuna aliyemumunya maneno mkuu ila si unajua u prezdaa ni zaid ya hivyo eeeeHapa tusimumunye maneno,,vipi yule wa monduli kweli angeweza hivyo?? Respect rais wangu..
acha ujinga, anachokifanya hapo si sahihi mtu anatakiwa ku behave kulingana na status yako. hapo naona kawa kama kitukoHapa tusimumunye maneno,,vipi yule wa monduli kweli angeweza hivyo?? Respect rais wangu..
Hili suala la kwenda kwa mkemia mkuu kufanya check up lingeanzia huku.
mie naona watu wako kazini ila wengine wanaleta masihara.