Amri jeshi mkuu wa Tanzania

Amri jeshi mkuu wa Tanzania

Heshima ya suti, ila anajiweza hapo ndani kavaa kilo ngapi vilee, za kuzuia rirasi
 
Mpe heshma yake mkuu ukatae usikatee ndo hivyo tena ishakuwa,
Heshima inatolewa kwa anayejiheshimu.

Anayejiweka kama katuni tukisema katuni naye tumemuheshimu kwamba tumemuelewa kwamba anataka kuonekana kama katuni.

Mtu hatakiwi kufanya jitihada kubwa kujionyesha kama katuni halafu tusiseme kwamba anajionyesha kama katuni.

Tusiposema hilo napo tutakuwa tumemkosea heshima.
 
Haha! Mwamnyange anamcheki anajisemea moyon huyu kweli PhD inamsumbua
 
Back
Top Bottom