AMRI 10 za KUIKOMBOA Tanzania

AMRI 10 za KUIKOMBOA Tanzania

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
11698853_871256412911101_660467590346958388_n.png


1. Usikaribishe Mafisadi kama CHADEMA
2. Usiwe mwizi kama LOWASA
3. Usiwe mwongo kama MNYIKA.
4. Usiwe kigeugeu kama MBOWE.
5. Usikose msimamo kama MAHANGA.

6. Msiwe na Uchu wa madaraka kama UKAWA.
7. Usiwe na kiburi kama MBATIA
8. Usipende kuropoka kama TUNDU LISSU
9. (Amri kuu) USIIPIGIE KURA UKAWA 2015 na chaguo la watanzania ni MAGUFURI TU
10. LOWASSA NA MBOWE ni vigeugeu na hawana sera ya kuikomboa Tanzania.

Huu ujumbe ukiupata wasambazie watu wasiopungua ishirini.


 
11698853_871256412911101_660467590346958388_n.png


1. Usikaribishe Mafisadi kama CHADEMA
2. Usiwe mwizi kama LOWASA
3. Usiwe mwongo kama MNYIKA.
4. Usiwe kigeugeu kama MBOWE.
5. Usikose msimamo kama MAHANGA.

6. Msiwe na Uchu wa madaraka kama UKAWA.
7. Usiwe na kiburi kama MBATIA
8. Usipende kuropoka kama TUNDU LISSU
9. (Amri kuu) USIIPIGIE KURA UKAWA 2015 na chaguo la watanzania ni MAGUFURI TU
10. LOWASSA NA MBOWE ni vigeugeu na hawana sera ya kuikomboa Tanzania.

Huu ujumbe ukiupata wasambazie watu wasiopungua ishirini.


Hapa kazi tu!
 
Kazi ipi atakayoifanya ambayo itakuwa mpya kwetu?? Yeye atafuata ilani ile ile tu ya chukua chako mapema
 
Lowassaaaaa,,,,,,,,,Mr chin povu lisikutoke kuna maisha baada ya October 25
 
jisambazie mwenyewe na TWAWEZACCM,usubiri muziki wa october 25.
 

Attachments

  • 1443933344630.jpg
    1443933344630.jpg
    55.9 KB · Views: 86
  • 1443933380445.jpg
    1443933380445.jpg
    68.5 KB · Views: 80
  • 1443933409085.jpg
    1443933409085.jpg
    27.8 KB · Views: 85
  • 1443933496145.jpg
    1443933496145.jpg
    88.4 KB · Views: 76
11698853_871256412911101_660467590346958388_n.png


1. Usikaribishe Mafisadi kama CHADEMA
2. Usiwe mwizi kama LOWASA
3. Usiwe mwongo kama MNYIKA.
4. Usiwe kigeugeu kama MBOWE.
5. Usikose msimamo kama MAHANGA.

6. Msiwe na Uchu wa madaraka kama UKAWA.
7. Usiwe na kiburi kama MBATIA
8. Usipende kuropoka kama TUNDU LISSU
9. (Amri kuu) USIIPIGIE KURA UKAWA 2015 na chaguo la watanzania ni MAGUFURI TU
10. LOWASSA NA MBOWE ni vigeugeu na hawana sera ya kuikomboa Tanzania.

Huu ujumbe ukiupata wasambazie watu wasiopungua ishirini.



Unaweweseka Maku wewe...
 
Hivi mbona ccm na watoto wao wamejaa viburi, dharau na matusi hivi. embu soma comment za watoto wa ccm kwenye hi thread.
 
Back
Top Bottom