Nimeangalia Google lakini sircuit zote ni ndogo ni za IC mojamoja tu
Mimi tataka nitumie IC mbili za tda2030 nimecheki michoro yote michache inatumia IC mbili lakini kwenye niliyoiona kwa huku kwetu component zake hamna mkuu na sana sana kinachonisumbua ni resister aina ya ohm860 ndiomaana nataka mchoro ambao hautumii hii resister mkuu nisaidie kama kuna uwezekano
Mkuu utahangaika sana!! bongo sasa hivi mnaoumiza kichwa kwa mambo makubwa mmebaki wachache wengi wamekimbilia kwenye habari za udaku, sijui bishop, siju kln, na mambo kadha wa kadha
Mkuu utahangaika sana!! bongo sasa hivi mnaoumiza kichwa kwa mambo makubwa mmebaki wachache wengi wamekimbilia kwenye habari za udaku, sijui bishop, siju kln, na mambo kadha wa kadha
Mkuu utahangaika sana!! bongo sasa hivi mnaoumiza kichwa kwa mambo makubwa mmebaki wachache wengi wamekimbilia kwenye habari za udaku, sijui bishop, siju kln, na mambo kadha wa kadha