Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,661
- 15,026
Nakumbuka mkuu wa mkoa wa Dar es salaam bwana Amos Makala alisema kwamba tangu tupate uhuru jiji la Dar es Salaam halijawahi kuwa safi kama sasa baada ya wamachinga kuondolewa wote barabarani na kupangwa kwenye masoko!
Leo niko Mbagala rangi tatu wamachinga wametapakaa vilevile kila kona ya barabara wamejaa., nasikia pia hata kule Katoro mkoani Geita waliposikia Rais Samia anakuja ndiyo wakawafukuza harakaharaka, lakini alipopita tu wakajaa tena barabarani.
Ni unafiki kwa kwenda mbele ili kumdanganya Rais.
Leo niko Mbagala rangi tatu wamachinga wametapakaa vilevile kila kona ya barabara wamejaa., nasikia pia hata kule Katoro mkoani Geita waliposikia Rais Samia anakuja ndiyo wakawafukuza harakaharaka, lakini alipopita tu wakajaa tena barabarani.
Ni unafiki kwa kwenda mbele ili kumdanganya Rais.