Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,770
- 1,173
HECHE USIRUSHE MAWE UKIWA NYUMBA YA VIOO - AMOS MAKALLA
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Amos Makalla amemtaka Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche kuacha kusambaza propaganda za kusalitiwa bali aseme ukweli yakuwa kuna mgogoro mkubwa ndani ya Chama chao.
Makalla amesema wanaoondoka CHADEMA hawaoni matumaini.
Amos Makalla ameyasema hayo akiwa mkoani Morogoro kwenye ziara.
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Amos Makalla amemtaka Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche kuacha kusambaza propaganda za kusalitiwa bali aseme ukweli yakuwa kuna mgogoro mkubwa ndani ya Chama chao.
Makalla amesema wanaoondoka CHADEMA hawaoni matumaini.
Amos Makalla ameyasema hayo akiwa mkoani Morogoro kwenye ziara.