Amlazimisha mme wake aoe mke wa pili

Amlazimisha mme wake aoe mke wa pili

inawezekana jamaa ndo kwanza wameoana.., anataka kila siku, kila saa. bidada avumilie baada ya mwezi hamu ya jamaa itapungua na kumuona wa kawaida. ataanza kupunguza kugonga kila siku. naongelea uzoefu wakuu nilipooa nilikuwa nataka kila siku, lakin siku hiz ni mara mbili kwa wiki. ( mleta maada umeongeza chumvi kidogo, haiwezekani kila siku kutumia muda mrefu namna hiyo)
 
Sijui dini ya huyo mdada,lakini kwani ni lazima aendelee kukaa kwenye hiyo ndoa?
Mhhh, pagumu hapa! Sidhani kama kuna ulazima kwenye case kama hii .... Maana hata wakiolewa wanawake kumi bado zamu yake ikifika atagegedwa kwa staili na masaa yale yale! Tatizo litakuwa halijasolviwa! Ni bora afuate ushauri wako ....
 
huyo mwanaume anafikiri kuwa K ni ugali???????? Au anadhani kutumia muda mrefu ni ujanja? Ujanja ni kumkojoza mkeo si kumpaka majasho masaa matano khaaa
masaa matano hajakojoa tu...basi hiyo nayo itakuwa kali
 
Sijui dini ya huyo mdada,lakini kwani ni lazima aendelee kukaa kwenye hiyo ndoa?

Sio ndoa! Wamefunga pingu za maisha.

Sent from my GT-S7562 using Tapatalk 2
 
MKUU wanaume wengi WASHAMBA siku hizi wanakunywa madawa kama vile SUPERSHAFT kwa kutaka kuwakomoa wake zao! Akiinywa tu hiyo ANAGEGEDA usiku mzima, yawezekana hapo mwanzo alikuwa sawa ila sasa kaanza kutumia hizo

Kwa mwandiko huu na ule kwenye ule uzi wako, nina mashaka na wewe na usiniulize kwa nini.
 
Wanawake bana... tukipiga bao moja kwa wiki shida... tukipiga 6 kwa siku shida pia. Inabidi tukioa tupewe na user mannual...

sita zote zina faida gani kama mwenzio hata kimoja cha penalty hajapata?
 
Wengine wanalalamika hawatoshelezwi
Na wengine wanavimbiwa.
Kazi ipo!
 
Amshauri mume wake awe anakunywa valuu, supu y pweza na ale karanga mbichi, mkuyati kwa wingi hiyo hali ya kugegeda 2ze maximum itapotea kabisa.
 
dada hajakosea kwa uamuzi huo
cha kufa wakati dunia na vilivyopo bado
vinamhitaji lol!akikataa kuoa arudi kwao kabisa!

 
Habari wana jamvini kunadada
mmoja jirani yetu imekua kero kwa mme wake baada ya kumlazimisha mme
wake aoe mke wa pili baada ya kuona kua yeye hawezi kumhimili kua jamaa
anaweza kumgegeda kuanzia saa tatu usiku mpaka sasa kumi na bado mchana
akitoka kazini anataka afikiee eko. Kwake yeye ameona ni karaha imefikia
wakati ameenda kutoa malalamiko kwao na mume huku akiwashauri ndugu
zake wa mshauri aoe mke wa pili baada ya mume wake kukataa swala la kuoa
mke wa pili. Hebu tuambizane anacho fanya uyn dada ni sahihi?

Ha! huyo dada vp? wadada wanatafuta dume lenye ubavu wa kupiga mashine kwa muda mrefu ye anamchezea! we mwache aendelee kurusha matangazo na hiyo kampeni yake ya matangazo! watampeperusha!
 
Kwahyo huyo jamaa halali? Anapumzika saa ngapi? Kazi gani ya kurudi mchana maana kikawaida ni jioni..nafikiri kuna exaggeration some where hapo...
 
Huyo dada inaonekana shughuli haiwezi kabisaaaaa...hajafundwa akafundika hata kidogo...inaonyesha hata kazi za ndani hawezi ni mvivu wa kutupwa....mwanamke anayeomba msaada wa kusaidiwa bana wakati mwanamke anauchunga mpingo wake siku zote ussibiwe na mwanamke mwingine.!
 
Labda demu anaonekana k yake ni tamu sana , kuna aina za maduu ukicheki macho yake alafu wezele lake na amejazia , akitembea anakatika utatamani umpige pampu kila muda inawezekana akawa wa namna hiyo.
 
dada yuko sahihi kushauri jamaa aongeze mke angalau pawe na mgao wa athari
 
I'm trying to understand but I don't get it..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom