A AMKA SASA Member Joined Feb 4, 2015 Posts 34 Reaction score 9 Feb 6, 2015 Thread starter #41 Basso seleman said: sasa jukwaa lenyewa la mapenz ww hutak tuonge mapenz sasa tukaongelee wap joh em tuambie mzee waku amsha walio macho Click to expand... hujanielewa mkuu, hapa inacholalamika ni ile hali ya kuwa too much kwenye mapenzi tu, watu wanashinda hapa, majukwaa ya maana hata hawaendi.
Basso seleman said: sasa jukwaa lenyewa la mapenz ww hutak tuonge mapenz sasa tukaongelee wap joh em tuambie mzee waku amsha walio macho Click to expand... hujanielewa mkuu, hapa inacholalamika ni ile hali ya kuwa too much kwenye mapenzi tu, watu wanashinda hapa, majukwaa ya maana hata hawaendi.
mabesela JF-Expert Member Joined Mar 14, 2014 Posts 1,294 Reaction score 680 Feb 6, 2015 #42 AMKA SASA said: hujanielewa mkuu, hapa inacholalamika ni ile hali ya kuwa too much kwenye mapenzi tu, watu wanashinda hapa, majukwaa ya maana hata hawaendi. Click to expand... Mapenzi ndo yana run dunia ndg..
AMKA SASA said: hujanielewa mkuu, hapa inacholalamika ni ile hali ya kuwa too much kwenye mapenzi tu, watu wanashinda hapa, majukwaa ya maana hata hawaendi. Click to expand... Mapenzi ndo yana run dunia ndg..
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,925 Reaction score 110,363 Feb 6, 2015 #43 Umekuja kutuamsha kwani umeambiwa tumelala???
W wilberthjohn Member Joined Feb 2, 2015 Posts 9 Reaction score 1 Feb 6, 2015 #44 Ndio tz wengi bado tuko usingizini
VAN HEIST JF-Expert Member Joined Aug 26, 2014 Posts 1,434 Reaction score 617 Feb 6, 2015 #45 AMKA SASA said: Ndo maana nimekuja kusambaratisha huku maana watu wote wanashinda huku. Click to expand... hahaha huwezi ndugu yangu kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake wengine hapa siasa inatupiga chenga
AMKA SASA said: Ndo maana nimekuja kusambaratisha huku maana watu wote wanashinda huku. Click to expand... hahaha huwezi ndugu yangu kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake wengine hapa siasa inatupiga chenga
Evelyn Salt Platinum Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,771 Reaction score 167,978 Feb 6, 2015 #46 mkwara mavi...
MankaM JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 9,448 Reaction score 3,071 Feb 6, 2015 #47 Umeamkia pabaya kijana
L Lolipop JF-Expert Member Joined Oct 30, 2013 Posts 349 Reaction score 81 Feb 6, 2015 #48 Sio bure huyu kaachika mda si mrefu na stress juu afu anashambulia watu
Meizon JF-Expert Member Joined Jan 13, 2014 Posts 279 Reaction score 105 Feb 6, 2015 #49 Pritty wa joseph said: ushaambiwa MMU unataka tujadili siasa hapa? we vip nenda jukwaa la uchumi,kazi,biashara na ujasiliamali kajadili hayo maisha ya kuamka sasa Click to expand... Majibu yako yananikosha sana.
Pritty wa joseph said: ushaambiwa MMU unataka tujadili siasa hapa? we vip nenda jukwaa la uchumi,kazi,biashara na ujasiliamali kajadili hayo maisha ya kuamka sasa Click to expand... Majibu yako yananikosha sana.