Amka sasa nimeingia kuwaamsha

AMKA SASA

Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
34
Reaction score
9
Baada ya kuwa msomaji mkubwa wa jukwaa hili la MMU, nimegundua muda mwingi wa watu unaishia katika kuwaza mapenzi tu, matokeo yake wengi wetu tunaishia katika umasikini wa kutupwa

Amka sasa nikuja kuwaamsha kwa kujaribu kuwatoa watu katika kuwaza tu mapenzi na kudhani wapo Duniani kwa ajili ya mapenzi,haujachelewa amka sasa.
 
mapenzi ndo yanazungusha dunia.....we are not promoting hatre here!
 
umeingia choo sio chenyewe, jiangalie usikurupuke......
 
ushaambiwa MMU unataka tujadili siasa hapa?
we vip nenda jukwaa la uchumi,kazi,biashara na ujasiliamali kajadili hayo maisha ya kuamka sasa

Ndo maana nimekuja kusambaratisha huku maana watu wote wanashinda huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…