Amjeruhi Mkewe kisa Simba kufungwa na Yanga goli 5

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Apr 12, 2012
21,838
38,730
Pichani ni Amina Narcis Ndunguru (39) - Mkazi wa Makoka, Dar es Salaam amenusurika kifo baada ya kujeruhiwa vibaya kichwani hususani sehemu ya jicho la kushoto, kutokana kipigo kinachodaiwa kufanywa na Mume wake, Charles Jacob Kulemba.

Amina maarufu kwa jina la Mama Vai, Mama wa watoto wanne amelazwa katika Hospitali ya Bochi iliyopo Mbezi kwa Msuguri, Ubungo jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Amina alikutana na kipigo hicho mara baada ya kuonesha furaha ya ushindi wa mabao 5-1 ambao Yanga iliupata kwa kumwadhibu mtani wake wa jadi - Simba katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliofanyika Jumapili Novemba 5, 2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Amina ni shabiki wa Yanga na Mume wake ni shabiki wa Simba. "Ndugu mwandishi, kilichoniponza mimi ni Yanga, tuliwapiga Makolo 5-1," anasema Amina kwa shida akiwa Wodi ya Wanawake - ghorofa ya pili, Jengo namba mbili hospitalini hapo.
FB_IMG_16995272903919607.jpg
 
Pichani ni Amina Narcis Ndunguru (39) - Mkazi wa Makoka, Dar es Salaam amenusurika kifo baada ya kujeruhiwa vibaya kichwani hususani sehemu ya jicho la kushoto, kutokana kipigo kinachodaiwa kufanywa na Mume wake, Charles Jacob Kulemba.

Amina maarufu kwa jina la Mama Vai, Mama wa watoto wanne amelazwa katika Hospitali ya Bochi iliyopo Mbezi kwa Msuguri, Ubungo jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Amina alikutana na kipigo hicho mara baada ya kuonesha furaha ya ushindi wa mabao 5-1 ambao Yanga iliupata kwa kumwadhibu mtani wake wa jadi - Simba katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliofanyika Jumapili Novemba 5, 2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Amina ni shabiki wa Yanga na Mume wake ni shabiki wa Simba. "Ndugu mwandishi, kilichoniponza mimi ni Yanga, tuliwapiga Makolo 5-1," anasema Amina kwa shida akiwa Wodi ya Wanawake - ghorofa ya pili, Jengo namba mbili hospitalini hapo.View attachment 2808714
Baada ya Makolo kupigwa kama ngoma na YANGA yeye akaona alipize kwa mke?!! Duh

Inafaa aburuzwe ubaoni akili imkae sawa
 
Pichani ni Amina Narcis Ndunguru (39) - Mkazi wa Makoka, Dar es Salaam amenusurika kifo baada ya kujeruhiwa vibaya kichwani hususani sehemu ya jicho la kushoto, kutokana kipigo kinachodaiwa kufanywa na Mume wake, Charles Jacob Kulemba.

Amina maarufu kwa jina la Mama Vai, Mama wa watoto wanne amelazwa katika Hospitali ya Bochi iliyopo Mbezi kwa Msuguri, Ubungo jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Amina alikutana na kipigo hicho mara baada ya kuonesha furaha ya ushindi wa mabao 5-1 ambao Yanga iliupata kwa kumwadhibu mtani wake wa jadi - Simba katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliofanyika Jumapili Novemba 5, 2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Amina ni shabiki wa Yanga na Mume wake ni shabiki wa Simba. "Ndugu mwandishi, kilichoniponza mimi ni Yanga, tuliwapiga Makolo 5-1," anasema Amina kwa shida akiwa Wodi ya Wanawake - ghorofa ya pili, Jengo namba mbili hospitalini hapo.View attachment 2808714
Pole mwananchi mwenzangu,

Aahaaa
 
Mambo kama haya ndio huleta uharamu wa ushabiki wa mpira ....Simple like that mimi mwenyewe simba mbona siku ile ile mambo yameisha 😅😅....Nipo hapa yaani hata kuonyesha huzuni hapana na ushabiki wa kutania mtu sijui kusukumana huo ushamba sina ..

Labda ishu za kutaniana kwa memes.
 
Pichani ni Amina Narcis Ndunguru (39) - Mkazi wa Makoka, Dar es Salaam amenusurika kifo baada ya kujeruhiwa vibaya kichwani hususani sehemu ya jicho la kushoto, kutokana kipigo kinachodaiwa kufanywa na Mume wake, Charles Jacob Kulemba.

Amina maarufu kwa jina la Mama Vai, Mama wa watoto wanne amelazwa katika Hospitali ya Bochi iliyopo Mbezi kwa Msuguri, Ubungo jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Amina alikutana na kipigo hicho mara baada ya kuonesha furaha ya ushindi wa mabao 5-1 ambao Yanga iliupata kwa kumwadhibu mtani wake wa jadi - Simba katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliofanyika Jumapili Novemba 5, 2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Amina ni shabiki wa Yanga na Mume wake ni shabiki wa Simba. "Ndugu mwandishi, kilichoniponza mimi ni Yanga, tuliwapiga Makolo 5-1," anasema Amina kwa shida akiwa Wodi ya Wanawake - ghorofa ya pili, Jengo namba mbili hospitalini hapo.View attachment 2808714
Daaaaahhh!! Ushabiki wa kiuwendawazimu sana huu.
 
Kwani angekaa kimya angepigwa?
Mambo ya kujitakia hayo
Sometimes ni vyema kujua mipaka yako.

Asifikiri wale ambao huwa wanaenda kushangilia chooni hawayajui hayo.
Yani nisishangilie ushindi kisa nini? Nitashangilia na nitamtania.
Tatizo la Amina hakupata mwanaume sahihi sawasawa na nyie hapa na mawazo yenu ya kijinga.
 
Acha upumbavu, mwanamke ana uhuru km binadamu wengine, sasa km hawezi mambo ya ushabiki wa mpira si aache, shida ya kuolewa na vishamba vimeingia mjini mijitu mizima.
Inapobidi Yes. Mwanamke anatakiwa kumtii mumewe. So kama mume kamkataza jambo anatakiwa kutii. Hata maandiko yanasema hivyo. Tamaduni zetu pia ziko hivyo.
 
Yani nisishangilie ushindi kisa nini? Nitashangilia na nitamtania.
Kabla ya kushangilia au kutoshangilia inabidi ujue asili ya mwenza wako ikoje. Kama hilo jambo kwake halina shida, unaweza kumtania. Lakini kama hapendi, ili kuepusha ya Amina, you stay in your lane.

Mfano mimi wife ni Yanga, na siku hiyo kanitania sana sababu anajua siwezi kumfanyia lolote kwa utani wa mpira. That's my nature not a principle. Hivyo kama mke, lazima ujue nature ya mwenzako ikoje.
 
Back
Top Bottom