AMIR: Rais Samia ametekeleza Katavi. Oktoba tunatiki'

AMIR: Rais Samia ametekeleza Katavi. Oktoba tunatiki'

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
wakuu
Ni kama October Tunatiki imeanza kupenya na No Reforms No election inasahaulika
=====
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Katavi Ndg. Amir Said Katalambula amewasihi Wananchi wa Mkoa wa Katavi kupiga kura za kishindo Kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kutokana na Utekelezaji wa Ilani ya CCM Kwa kishindo katika Mkoa huo wakati wa Mkutano wa Hadhara wa Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC) katika Uwanja wa Inyonga - Mlele Mkoani Katavi.


 
Kama wewe unakumbuka kuhusu jambo kwa upana huo nani atasahau?? 😀
Mnajichamgaya sana enyi kizazi kandamizi
 
wakuu
Ni kama October Tunatiki imeanza kupenya na No Reforms No election inasahaulika
=====
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Katavi Ndg. Amir Said Katalambula amewasihi Wananchi wa Mkoa wa Katavi kupiga kura za kishindo Kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kutokana na Utekelezaji wa Ilani ya CCM Kwa kishindo katika Mkoa huo wakati wa Mkutano wa Hadhara wa Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC) katika Uwanja wa Inyonga - Mlele Mkoani Katavi.
No reforms, no elections.
 
😆😃😀😄

CCM imejaa washamba hawana ubunifu hivyo Kila wakati huiga mambo toka CHADEMA.

CHADEMA walitoa T-shirt za mistastari na wao wakaiga wakatoa zao ingawa zilidoda.

CHADEMA walikuja na "Movement4 Change" na wao wakaja na "Magufull4change"

CHADEMA iliwekeza kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na wao wakaiga ila wao Sasa wakaambulia kupata machawa mbinuko.

Sasa CHADEMA wamekuja na "NO REFORMS NO ELECTION" na wao wamekuja na kichekesho chao.

Yaani mtu wa CCM kusema atapiga kura hiyo nayo ni habari?
 
No reforms no election.










No reforms no election.




















No reforms no election
 
wakuu
Ni kama October Tunatiki imeanza kupenya na No Reforms No election inasahaulika
=====
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Katavi Ndg. Amir Said Katalambula amewasihi Wananchi wa Mkoa wa Katavi kupiga kura za kishindo Kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kutokana na Utekelezaji wa Ilani ya CCM Kwa kishindo katika Mkoa huo wakati wa Mkutano wa Hadhara wa Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC) katika Uwanja wa Inyonga - Mlele Mkoani Katavi.
 

Attachments

  • c056daa87cf1efedcef0f645266ec170_1749629076802.mp4
    4.4 MB
wakuu
Ni kama October Tunatiki imeanza kupenya na No Reforms No election inasahaulika
=====
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Katavi Ndg. Amir Said Katalambula amewasihi Wananchi wa Mkoa wa Katavi kupiga kura za kishindo Kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kutokana na Utekelezaji wa Ilani ya CCM Kwa kishindo katika Mkoa huo wakati wa Mkutano wa Hadhara wa Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC) katika Uwanja wa Inyonga - Mlele Mkoani Katavi.

View attachment 3365572
Kwako na kwa wa watu wa aina yako tick imeingia kabisaaa kunako
 
Acheni kulazimisha watumishi wa umma wafike kwa lazima, vijana wa chuo na watoto wa shule kwenye mikutano yenu.
 
Back
Top Bottom