Aminizidi ujanja nifanyeje?

Aminizidi ujanja nifanyeje?

556555_443237512453235_1494590271_n.jpg

Hahahahahah Tyta unepinda walahiiiiii yaani hata nilichotaka kuchangia nimekisahau
 
Last edited by a moderator:
jamani hivi kusex ndio had mpigiane simu kujiandaa.hivi vitu ni hisia .ukionyesha mapenzi mwanamke akihisi yupo sehemu salama huhitaji kuwaza atafanya zaidi ya utakayo
 
ha ha ntakupa kaujanja kangu mkuu mi nikikua nakutana na gal yoyote chumban kwa mara ya kwanza hua namnunulia shanga ya kiuno akiiona anafrah ananiomba nimvalishe nikimpapasa kiuno tu mchezo ushaanza
 
jamani hivi kusex ndio had mpigiane simu kujiandaa.hivi vitu ni hisia .ukionyesha mapenzi mwanamke akihisi yupo sehemu salama huhitaji kuwaza atafanya zaidi ya utakayo

....dadangu, siku hizi mechi zinaandaliwa kabisa. Ukitoka kwenu unajua leo naenda kupiga mechi ya ugenini.
 
Habari zenu nampenzi wangu nampenda sana nahisi kupokonywa muda wowote na kibaya zaidi sijatembea nae mpaka sasa hivi! nilienda nae hotel kwa makubaliano tukapate msosi na kujiachia nae mambo fulani tulivyofika hotelini nakalipia chumba kabisa tulipoingia ndani akanizingua hata kiss sikupata eti hayupo kwenye mood sijamtalifu kama tutafanya mapenzi tukaishia kupiga story mpaka saa 12 jioni nakusepa zake, Baada ya hapo nilimchana ukweli tukutane ili ajiandae tukikutana asinirushe kama alivyofanya mwanzo baada kumwambia hivyo anipiga chenga kila kukicha nipeni maujanja nifanyeje nimeshapoteza bahati ya kwanza kwa kujifanya mpole kwake nakumsikiliza matakwa yake na alichoniambia, nataka kucorect mistake niliofanya mwanzo mpaka akanizidi ujanja!!nifanyeje!


samahani,
uko kidato cha ngapi mkuu?
 
ukishamgegeda then wat next? tatizo ameshakushtukia kitu pekee unachotaka ni papuchi yake tu, badilisha msimamo wako juu yake kimawazo na kimatendo, futa kabisa habari za ngono yani usigusie kabisa badala yake anza kumfanya ajihisi unampenda na kumuhitaji na si kumtamani, mtoe outings za sehemu kama beach hivi au hata kama ni lunch basi ziwe restaurant na si mahotelini manake anaweza hisi unampeleka huko kwajilli ya ngono, vizawadi hapa na pale mpaka asahau kama ulishawahi kugusia kitu hicho, then utaona mwenyewe

aaah mrsleo,,,umemaliza yote!kesho nkumbushe nkugongee like..!teh teh
 
Yani wewe bana, kwa hiyo unahisi kama utapokonywa huyo girl siku yoyote, so unachotaka wewe ni kumgegeda tu ili hata akiibiwa roho isikuume sana. I like that girl akukomeshe hivyo hivyo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
amekuona zoba..watu tunawavuaga hadi pedi kuhakikisha kama kuna damu wewe umeishia kupiga stori...
 
hahhaaaaaaaaaaa mpwa nakupatia pozi ukiwa unalia
hahahaaa sasa utajisifia kwa lipi kama sio hilo? wazazi wetu walijisifia kuwa Waliwakuta mabibi zetu wakiwa BIKRA sasa nowadays ngoma droo, si heri nijivunie kuwa nililia hahahahaaaaaa unabembeleza hadi ukipewa hata hamu yenyewe imeisha...........
 
Nipe plan maana we ni Msichana mwenzio, subira ninayo sana sema mi pango ndio sina!!
 
ukishamgegeda then wat next? tatizo ameshakushtukia kitu pekee unachotaka ni papuchi yake tu, badilisha msimamo wako juu yake kimawazo na kimatendo, futa kabisa habari za ngono yani usigusie kabisa badala yake anza kumfanya ajihisi unampenda na kumuhitaji na si kumtamani, mtoe outings za sehemu kama beach hivi au hata kama ni lunch basi ziwe restaurant na si mahotelini manake anaweza hisi unampeleka huko kwajilli ya ngono, vizawadi hapa na pale mpaka asahau kama ulishawahi kugusia kitu hicho, then utaona mwenyewe

Unataka Dogo aendelee kuwa "mshika pembe"?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom