Aminizidi ujanja nifanyeje?

Aminizidi ujanja nifanyeje?

Mi mwenzio nilililia na kupiga magoti hadi akakubali zaidi ya masaa mawili na nusu nabembeleza tena kwa machozi hadi magoti yanauma......usiwe mvivu na kujifanya mwema sana! hawataki wema hao. Work hard and AIM higher ila michepuko sio dili


Ww ni dhaifu kweli unaliaa tena na kupiga magoti....
Hii ni fedheha kabisa kwa jamii ya wanaume.

Usijitape kuwa ulikula mzigo ..
Alikuonea huruma .
Nadhan hio ndo ilikua mara ya kwanza na mwisho.

Tumia ulijali wako sio kujiliza.
Hakuna mwnamke anaemtaka mwanaume dhaifu anaejiliza .

Hovyoooo kabisa.
 
waonaje uje uniulize home ukirudi kutoka shule dogo.....? maana natupa pesa shule kumbe unahonga mtaani!
 
Ww ni dhaifu kweli unaliaa tena na kupiga magoti....
Hii ni fedheha kabisa kwa jamii ya wanaume.

Usijitape kuwa ulikula mzigo ..
Alikuonea huruma .
Nadhan hio ndo ilikua mara ya kwanza na mwisho.

Tumia ulijali wako sio kujiliza.
Hakuna mwnamke anaemtaka mwanaume dhaifu anaejiliza .

Hovyoooo kabisa.
Nimecheka sana sana, kila mtu ana namna yake ya kula.....mimi ndio nilikula kwa namna hio. dont take things too serious
 
ukishamgegeda then wat next? tatizo ameshakushtukia kitu pekee unachotaka ni papuchi yake tu, badilisha msimamo wako juu yake kimawazo na kimatendo, futa kabisa habari za ngono yani usigusie kabisa badala yake anza kumfanya ajihisi unampenda na kumuhitaji na si kumtamani, mtoe outings za sehemu kama beach hivi au hata kama ni lunch basi ziwe restaurant na si mahotelini manake anaweza hisi unampeleka huko kwajilli ya ngono, vizawadi hapa na pale mpaka asahau kama ulishawahi kugusia kitu hicho, then utaona mwenyewe

Huu ushauri nimeupenda.
 
ukishamgegeda then wat next? tatizo ameshakushtukia kitu pekee unachotaka ni papuchi yake tu, badilisha msimamo wako juu yake kimawazo na kimatendo, futa kabisa habari za ngono yani usigusie kabisa badala yake anza kumfanya ajihisi unampenda na kumuhitaji na si kumtamani, mtoe outings za sehemu kama beach hivi au hata kama ni lunch basi ziwe restaurant na si mahotelini manake anaweza hisi unampeleka huko kwajilli ya ngono, vizawadi hapa na pale mpaka asahau kama ulishawahi kugusia kitu hicho, then utaona mwenyewe

kweli tunatofautiana...mi huo mda wa kufanya huo upuuzi , sina na sitakuja kuupata!!
 
AISEEEE. Tatizo lako ni kutojiamini na kuonesha una njaa sana.
Kwa ulicho jaribu kufanya ni sawa na mtu aliyetaka kubaka.

Umetumia mbinu ya kitoto
 
hapo ndipo ambapo huwa pananipa hasira!..... kwa nn tumewekwa jinsia mbili badala ya tatu? yaani wanaume tunadharirika kwa sababu ya papuchi!!?
 
Hukushiba kwenye sahani utashiba kwenye kijiko?
Ndio basi tena!!!!
 
Au bikra hyo kaka? Any way uconyeshe njaa saana nenda aste aste tu kama mastory meng ya mapnz, kumjali, calls & sms mara kwa mara kifupi aamini kuwa unampenda na kumjali kuptia matendo yako. Akishakolea yeye mwenyewe atainitiate tu "baby leo nahitaji tuwe wote the whole day" Kama nakuona vle unakopa pesa ili ukafaid tehe tehe tehe. Na ukifika site uckurupuke kama bkra atazngua then waweza mtia vtasa, taratibu tu michezo ya hapa na pale kumnogesha hata nguo znamtoka acjistukie. Ok bro ni hayo tu kila la kher.
 
Mi mwenzio nilililia na kupiga magoti hadi akakubali zaidi ya masaa mawili na nusu nabembeleza tena kwa machozi hadi magoti yanauma......usiwe mvivu na kujifanya mwema sana! hawataki wema hao. Work hard and AIM higher ila michepuko sio dili

hahhaaaaaaaaaaa mpwa nakupatia pozi ukiwa unalia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom