Amini usiamini, mabaunsa wengi ndiyo mashoga..

Amini usiamini, mabaunsa wengi ndiyo mashoga..

Hapa nahitaji mamlaka zaidi ya maneno yako tu maana unaweza ukawa unatunga.

Kaka kwa nini nitunge? Fatilia utaona ukweli, nadhani hata kwenye hiyo kamusi ya Kiswahili unweza kupata asili ya neno Jangili

fatilia pia maana ya neno Marehem Kiswahili na Kiarabu
 
Kaka kwa nini nitunge? Fatilia utaona ukweli, nadhani hata kwenye hiyo kamusi ya Kiswahili unweza kupata asili ya neno Jangili

fatilia pia maana ya neno Marehem Kiswahili na Kiarabu

Sawa nitafuatilia. Lakini hiyo ya baunsa inabaki palepale. Watanzania hatujui lugha. Hata Kiswahili hatukijui!
 
Sawa nitafuatilia. Lakini hiyo ya baunsa inabaki palepale. Watanzania hatujui lugha. Hata Kiswahili hatukijui!
Sawa mkuu, lakini hii issue ya ushoga Tanzania inaingia level nyingine kabisa, tukiachana na hao mabaunsa, kwa Dar es salaam ikifika jioni maeneo ya Ilala, Kariakoo, Magomeni, Kinondoni wala huitaji tochi kuwaona,
tatizo hasa ni nini au ndio utandawazi wenyewe?
 
mwanaume hata kama rijari ukikubali kuingiliwa mara moja na kumwagiwa shahawa tu zikikaa kwa siku mbili zinaoza kwani sio sawa na mwanamke baada ya kuoza kunatokea fangasi au wadudud wadogo wanaowasha washa sana ndio maana shoga anafikia wakati anaenda kumlipa mwanaume ili amsugue tu kutokana na wadudud

Nafurahigi sana kupata mifano kwa watu wanaohusika hasa....enhe..lete data mwaya!
 
Sawa mkuu, lakini hii issue ya ushoga Tanzania inaingia level nyingine kabisa, tukiachana na hao mabaunsa, kwa Dar es salaam ikifika jioni maeneo ya Ilala, Kariakoo, Magomeni, Kinondoni wala huitaji tochi kuwaona,
tatizo hasa ni nini au ndio utandawazi wenyewe?

Mimi kwa kweli sijui tatizo ni nini na wala sijali kwani kila mtu na maisha yake.

Huwa sielewi kwa nini mtu mzima na maisha yako ukae ukijishughulisha na maisha ya wengine na kuanza kubaini nani ni gay na nani si gay. Inakuhusu nini?

Na ukiona mtu anapinga sana kuhusu ugay au anajitahidi sana kupakazia wengine kuwa wao ndiyo magay basi huenda yeye ndiyo gay na anachofanya ni ku-project tu mwelekeo wake wa kijinsia kwa wengine.

Hiyo haina ushahidi wa kitaaluma, kisayansi, wala kitakwimu bali ina ushahidi wa anecdotes kwani tayari ushahidi upo wa anti-gay crusaders ambao kumbe wao wenyewe ndiyo magay wakubwa.
 
Sawa mkuu, lakini hii issue ya ushoga Tanzania inaingia level nyingine kabisa, tukiachana na hao mabaunsa, kwa Dar es salaam ikifika jioni maeneo ya Ilala, Kariakoo, Magomeni, Kinondoni wala huitaji tochi kuwaona,
tatizo hasa ni nini au ndio utandawazi wenyewe?

Manadilko ya Halli Nchi; wanaumme wanakuwa kama mabinti!
 
Nafurahigi sana kupata mifano kwa watu wanaohusika hasa....enhe..lete data mwaya!

huu ni utafiti nishapiga sana hawa mashoga sasa nilikua nawauliza kwa nini unapenda hivi au ulijifunza wapi ndio nikapata majibu hayo wengi wanajifunzia utotoni hasa kwa marafaki zao wanapowaingilia kila siku ndio unakua mchezo wao wachache sana jela ila kama utapenda mwenyewe sio kwa kulazimishwa
 
duh kwanza hio profile pic yako inanitia mashaka...... then hii idea uliyosema hapo sijawai iskia popete inaalekea we mtaalam sana wa mambo haya. Funguka kidogo hii analysis umepata wapi nikafanye research.

mtafute shoga yoyote mfanye kua rafiki then utayajua mengi sana wapo wengine wanafanya vile kutokana na ugumu wa maisha ili wapate pesa na wengine starehe wapo pia wanaoambukiza ukimwi tu kwza makusudi kabisa
 
msishangae kwa ufafanuzi wangu kwani si kila alie na uelewa wa vvu ni muathirikaau anaejua kuchambua mpira anaweza kucheza kwa u stadi mkubwa haya mambo kwani mshogta ni kaka zetu na wadogo zetu na wengine ni wapenzi wenu jaribu kuuliza ni nini hasa wanachokipenda pale mi niliwahi kuul;iza wakanijibu kua ni lile joto la ringu jeusi ndilo linalowapa raha na vile linavyowasugua sio siri na yajua mengi sana kuhusu mahusiano now nimejikita kwenye utafiti kuhusu bikra ya mwanamke na jinsi atakavyom chukulia bada ya kuachana na alie mtoa hiyo bikra je anaweza kumsahau au anaweza asimpende au kumsusa akiwa na mwanaume mwingine je hua wanaachana au wakikutana hata kama wameolewa hua wanakumbushia sikuy zote mimi hua najifunza msinielewe vibuyu jamabni mi rijali haswaaaaaaaaaaaaaa
 
Hao wanawake hawataki kugeuzwa, inakuwaje kwa mwanaume? Just thinking loudly
 
Shemmmmm......
Nakumiss ujue.
Ila kiukweli Kino yetu imeharibika sana.

Mimii nimekumiss mpaka nikifumba macho nakuona umevaa khanga moko kama wakati ulee nilivyomtembela Kaka.
Usijali nitakuletea zawadi ya ugoro.....!!

Sasa wewe unasema Kino imeharibika lakini hutaki kuhama na kila wikend upo Mango G, Masai Club mara Chichi Hotel!
Miye mwenyewe nikitaka maji ya dhahabu najipitia zangu Sinzaaaa!
 
Hii habari inahuzunisha sana lakini sijui nisemeje.
Juzi j4 nilikuwa mitaa ya kinondoni studio nikiwa naelekea mitaa ya shentembaa
alipita baunsa mmoja wa club moja maarufu sana hapa kinondoni sasa nilishangaa sana kitu kimoja
sote tunatembea njia moja kufika hapo baa ya stereo nikaona jamaa anaitwa psiiiiii akageuka mweeeh! Jamani hilo pozi hata mm mtoto wa kike sina, akamwendea alomwita yaani nilikuwa na hamu ya kuku wa kuchoma nilipoona ameingia sterio baa niliendelea kana kwamba sikua na mpango wa kununua kuku pale. Ndipo nikamsimulia shosti yangu mmoja akaniambia mbona huyu ndo kazi yake?? Nilichoka mwili na roho.

Mi hapa nimesha disa hakiyaMungu
 
Mimii nimekumiss mpaka nikifumba macho nakuona umevaa khanga moko kama wakati ulee nilivyomtembela Kaka.
Usijali nitakuletea zawadi ya ugoro.....!!

Sasa wewe unasema Kino imeharibika lakini hutaki kuhama na kila wikend upo Mango G, Masai Club mara Chichi Hotel!
Miye mwenyewe nikitaka maji ya dhahabu najipitia zangu Sinzaaaa!

Sasa unadhani sie Maalwatani wa Kinondoni tukihama, akina nani wataijaza Kino yetu???
Mie na Kino......Kino na mie.
CC: manoah
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom